Kati ya haya makundi mawili, ni nani anakula maisha ya kifahari na kitajiri?

Kati ya haya makundi mawili, ni nani anakula maisha ya kifahari na kitajiri?

Nenda 1245, Nenda pale Tips mikocheni au ile coco.
Usipite meza za wavaa vipuri nenda zile VIP. Karibu na ngazi au Dj.
1245 ni yote.

Alafu ukiwa unatoka nje uangalie Gari zinazopaki. Haakikisha zile zinazokaa karibu na entrance. Urudi hapa useme, wasomi na machawa, mwijaku ana elimu, tumuweke kwa hao machawa. Hafui dafu kwa wale vijana wote wasomi. Na wote wanakula bata.
Refer FRANK YANG, BALATI, ISAAC, NSEKELA, AMOUR, STANLEY , Hawa utawakuta maeneo mengi ya starehe za 30ml a day mzee wangu.
Vijana wasome. Starehe zinatengenezwa na sisi wasomi. And wewe kama msomi, if you don't do bussiness to get rich , What's your purpose then?
Hao wa kwenye 1245 nimesahau kuwaweka kwenye kundi la kwanza ambalo ni "wapiga dili", wao wana elimu sawa, ila utajir na pesa wameweza kuzipata kwa ku "manipulate mfumo"
Huwez kuniambia hao wanamaliza mil 30 per day ni mishahara yao na kiiunua mgongo au perdiems
 
Ulaji was maisha ni mind set mkuu!

Kuna watu ni matajiri na wanaspend sana but in deep hearte they feel emptness!na Wala hata hawa enjoy life lenyewe!

Utajiri ni siri na Siri hizo zinawatesa sana kuliko wanavyo enjoy!!

Mind set mkuu acha kuona watu wakicheka na kutabasam wakiwa location mkuu,kwenye kicheko kingi Kuna maumivu pia take that!
Tajiri mwenye pesa anaejua kusoma na kuandika tu, na maskini mwenye elimu ya digrii ambaye hata kujinunulia soksi hawezi, soksi hadi zimetoboka, au kiatu kimeisha soli, au bas kama ana kazi yenye mshahara ukimuangalia ni kama mfupa tu na kichwa kimejaa mishipa kwa kufikiri kwingi na kuwaza kwingi, yupi kati ya hao ana feel emptness,.depressed, suicidal
 
Kuna watu wanataka kuhalalisha mambo Fulani wakizani ni mtindo mzuri kwenye nchi yetu,, tuombe tu watu wanaoishi kiujanja ujanja waendelee kuwa hao wachache lakini ikitokea kundi kubwa likaishi maisha ya ujanja ujanja sijui hii nchi itaishia wapi
Mbona ndio huko kunakoelekeka ? ...

Vyeti ni kama havina kazi kwa sasa...kijana msomi anapomuona dotto magari anaelekea kwenye utajiri na kuanza kupewa deals kubwa kubwa hata inafikia anapewa mualiko kwenda ikulu, unafikir rika lake ambao ni wana ma - high class na mabanda A's za kutosha, wanawaza nini
 
Chawa weny pesa ni wangapi ? Elimu ni bora na uwezo unajieleza hizo kelele wote pesa wanazolipwa ni kawaida , miaka kadhaa anaweza kuingia Rais mpya mambo yakabadilika .

Uchawa hauna ishu .
Pesa ya kujenga gorofa ambalo si chini ya milioni 300, au kununua land cruiser lc series mil 450+ ni pesa ya kawaida kulinganisha na wa mshahara wa laki 450K before deductions, digrii ..
 
Pesa ya kujenga gorofa ambalo si chini ya milioni 300, au kununua land cruiser lc series mil 450+ ni pesa ya kawaida kulinganisha na wa mshahara wa laki 450K before deductions, digrii ..
UNonglea degree ipi ? Mzee pesa za kawaida hizo mikopo kibao ...Mwijaku ana miaka 40 sasa miaka huoni kama ni mingi ....Nenda kaone wana wanaofanya za taalamu mpaka nje wana mafanikio .

Hiyo ni mikopo ni libaility .
 
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya Kitenge, Mwijaku, Baba Levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawaweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini.

Je, kundi gani kati ya hayo mawili kwa sasa yana pesa, yanakula maisha ya kitajiri na ya kifahari? Kundi ambalo linaweza kununua gari kwa cash milioni 500 kama tano, au kujenga nyumba ya Bilioni 1..

Je kwa sasa elimu muhimu ni wewe kujua kusoma na kuandika tu?

Je "connection" ndio kila kitu?
Elimu bado ni undisputable,

sisi wakongwe tulioenda shule sawasawa enzi hizo hstubabaishwi na magari wa nyumba, ni vitu vya muda mfupi na msimu tu. vichwa vyeti ni hazina kuu,

hatushoboki na na chawa, wauza ngada, wezi, na wanasiasa mafisadi

Tunaandika machapisho, tunafanya tafiti, tunaanzisha biashara na taasisi zinazosaidia watanzania wengi, tunatoa ajira na kulipa kodi
 
Pesa ya kujenga gorofa ambalo si chini ya milioni 300, au kununua land cruiser lc series mil 450+ ni pesa ya kawaida kulinganisha na wa mshahara wa laki 450K before deductions, digrii ..
Naona unapambana kuongeza idadi ya comments kwenyewe uzi wako. Ni hivi, hata hao unaona wanamoishi mazuri ila walianza chini. Hiyo 450,000 ni kianzio mkuu. Nyie ndio mnauza linda mkitaka mafanikio ya haraka. Waswahili wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha. Unataka umalize degree leo alafu kesho ujenge ghorofa? Pathetic na maisha hayahitaji haraka dogo.
 
Elimu bado ni undisputable,

sisi wakongwe tulioenda shule sawasawa enzi hizo hstubabaishwi na magari wa nyumba, ni vitu vya muda mfupi na msimu tu. vichwa vyeti ni hazina kuu,

hatushoboki na na chawa, wauza ngada, wezi, na wanasiasa mafisadi

Tunaandika machapisho, tunafanya tafiti, tunaanzisha biashara na taasisi zinazosaidia watanzania wengi, tunatoa ajira na kulipa kodi
Comment nzuri sana hii ila mlemavu uzi ataleta ubishi ili uzi wake ufike page nyingi kama wa kula tunda kimasihara. Anataka kila mtu awe chawa na watu wanadanganywa sana. Kote duniani waliosoma wana kipato kikubwa kuliko waliosoma. Nenda vijijini uone wasiosoma wanavyogema tembo na ulanzi ili waishi.
 
Hao wa kwenye 1245 nimesahau kuwaweka kwenye kundi la kwanza ambalo ni "wapiga dili", wao wana elimu sawa, ila utajir na pesa wameweza kuzipata kwa ku "manipulate mfumo"
Huwez kuniambia hao wanamaliza mil 30 per day ni mishahara yao na kiiunua mgongo au perdiems
Kumbe haujui mzee, basi relax, toa wazo la manipulation na upigaji dili.
Mwisho nimekwambia why doing bussiness and you don't want to be rich.
Mzee watu wameajiriwa, wamefungua biashara zao. Wewe unasema manipulation au thread yako andika vizuri maana hii crash yako sijaelewa. Kwamba watu hawana hela ya kuspend 30ml a day? Hili ni kundi sio siingke pesa. Huyu ana 1 ml, huyu laki 3 huyu 5, mfanyabiashara kwenye kundi ana 7ml end of the day bili inalipwa.
Lastly, tunaishi kwenye mfumo wa kuhifadhi, to my 35 years of age na kusoma na kufanya kazi vizuri na kushirikiana na watu, event ya kutumia laki nne mara mbili kwa week haiwezi nishinda.
Jifunze kuhifadhi pesa. Gari la milioni 40 halitakiwi kunishinda.
Tusiishi kwamba wenye kipato cha juu ni wezi.
You won't get these words from anybody.
 
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya Kitenge, Mwijaku, Baba Levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawaweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini.

Je, kundi gani kati ya hayo mawili kwa sasa yana pesa, yanakula maisha ya kitajiri na ya kifahari? Kundi ambalo linaweza kununua gari kwa cash milioni 500 kama tano, au kujenga nyumba ya Bilioni 1..

Je kwa sasa elimu muhimu ni wewe kujua kusoma na kuandika tu?

Je "connection" ndio kila kitu?
Ww huna akiri unafananisha elimu na ushoga shoga kichwani hamna kitu unaweza ukamshauri mtu aache kazi aingie kwenye ushoga hili Taifa vijana wengi wanaangamia basi sawa mfundishe na mwanao mdogo wako mke wako uchawa
 
Back
Top Bottom