Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wanaishi maisha ya kumuogopa Mboweuvccm na ccm awamu ya sita wanaishi maisha kulambana miguu
Mnajadili utoto!??Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya kitenge, mwijaku, baba levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawawweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini.
Je kundi gani kati ya hayo mawili kwa sasa yana pesa, yanakula maisha ya kitajiri na ya kifahari? Kundi ambalo linaweza kununua gari kwa cash milioni 500 kama tano, au kujenga nyumba ya Bilioni 1..
Je kwa sasa elimu muhimu ni wewe kujua kusoma na kuandika tu?
Je "connection" ndio kila kitu?
Mkuu,Kaka mkubwa hauoni kama hayo ni maneno ya kutufariji tu na hayana ukweli wowote?
Hawa nyumbu kina mwashambwa watakuelewa basi kaka mkubwa?Mkuu,
Hawa watu huwa miisho sio mizuri sana. Yaani angalia kina Musiba leo wako wapi, hao ndio type zao. Hawana mwisho mzuri as wanatumika kama toilet paper.
😄Chadema wanaishi maisha ya kumuogopa Mbowe
Nipo bae...Baby upo?
Ngoja tuone....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanadanganywa sana hawa watoto ndio maana wanapasuliwa mayai na kuvunjwa ubingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Diamond Platnumz na Labda Mwana Fa, nani anaishi vizuri[emoji848][emoji848]
Mawe ni mawe tu mzee aidha uwe unaishi Canada au Congo kwenye vita kama una mawe una mawe tu.