Kwenye salary nani anawazidi wengine?1.Hapo Kuna allowances kibao.
Ahsante kwa kushare mkuu. Kati ya hao wawili uliowataja nani top?BANDARINI NA TRA nasikia wanapiga maslahi mazuri sana mkuu, hao wengine siajapata taarifa zao kivile
mazingira bora ya nazi au ya kazi?
Kazi tunachapa kisawasawaTuchape Kazi
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Ahsante sana, tatizo mishahara ya TGS iko wazi ila kuhusu hii miamba inayojipangia imekuwa siri hasaKwenye maslahi mazuri ni hapo unapojipatia riziki yako muda huu. Huko kote ulikotaja asilimia kubwa ya hizo nafasi(hasa za vitengo vyenye maslahi ni za Kamtele au Mtoto-wa. Hizo za kawaida kwenye hizo idara hazina cha maana. But TCRA wana scale nzuri sana ya mishahara. Mlinzi tuu anamwacha graduate wa kada kama elimu au kilimo
Upo kati ya hiyo miamba 6 ?MI sijui
Wengine watajiajiri na wengine wataajiriwa huo ni mfumo dunia nzimaWalioko masomoni si ndio hao wanaambiwa wajiajiri
Hapana, mi ni housegirl tyuuhUpo kati ya hiyo miamba 6 ?
Exposure tu.Ili ikusaidie nini???.
HaiwezekaniHapana, mi ni housegirl tyuuh
KweliHaiwezekani
Wewe utakuwa TRAKweli