Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Daaah nashindwa kutaja exactly but ningeanza na TPA then TRAAhsante kwa kushare mkuu. Kati ya hao wawili uliowataja nani top?
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah nashindwa kutaja exactly but ningeanza na TPA then TRAAhsante kwa kushare mkuu. Kati ya hao wawili uliowataja nani top?
HayaWewe utakuwa TRA
7. NSSFNSSF wanaodhulumu wazee haki yao' umeeaachia nini
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority
4. TPA
Tanzania Port Authority
5. TRA
Tanzania Revenue Authority
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
Hao hawastahili hata kulegeza gidamu ya viatu vya hao miamba.Mbona walimu na polisi umewaruka?
Hahaaa!Sisi wakubeti ndio tunaongoza..Maana nataweka jero then tunamatumaini ya kushinda M 78
Wamefanya nini?1. Manabii na mitume😎
Hata hao miamba 6 kuna watu wana uwekezaji mkubwaMwamba ni mfanyabiashara mplipa kodi tu, ndiye anayewalisha hao wote 6.
Wizi gani tena?Wizi Mtupu
Ng'ang'ania hapo ulipoHaya
Unatafta sehemu ya field niniKati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.
4. TPA
Tanzania Port Authority.
5. TRA
Tanzania Revenue Authority.
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
hii inabidi iwe 0, sio 1, hawa jamaa wanagonga pesa za wajinga ile mbayaa1. Manabii na mitume😎
Bro tafuta muajiriwa wa bandari umuambie hiki kitu kama hajakupiga makofi....wafanyakazi wa tasac wana mishahara minono kuliko hao wa bandari....BANDARINI NA TRA nasikia wanapiga maslahi mazuri sana mkuu, hao wengine siajapata taarifa zao kivile
Mazingira bora ya nazi au ya kazi?
Kinachomtofautisha mfanyakazi wa tpa na vibarua wao pale ni wizi tu.....imefika stage mfanyakazi wa tpa anamuomba nauli kibarua wake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].......Daaah nashindwa kutaja exactly but ningeanza na TPA then TRA
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Akili zako matope kweli..kwahiyo unadhani hao wafanyakazi hawakatwi kodi?..huu ujinga utawatoka lini?Mwamba ni mfanyabiashara mplipa kodi tu, ndiye anayewalisha hao wote 6.