Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Mwamba ni mfanyabiashara mplipa kodi tu, ndiye anayewalisha hao wote 6.
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority
4. TPA
Tanzania Port Authority
5. TRA
Tanzania Revenue Authority
6. TANAPA
Tanzania National Park

Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
 
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.

2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.

3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.

4. TPA
Tanzania Port Authority.

5. TRA
Tanzania Revenue Authority.

6. TANAPA
Tanzania National Park

Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
Unatafta sehemu ya field nini
 
BANDARINI NA TRA nasikia wanapiga maslahi mazuri sana mkuu, hao wengine siajapata taarifa zao kivile

Mazingira bora ya nazi au ya kazi?
Bro tafuta muajiriwa wa bandari umuambie hiki kitu kama hajakupiga makofi....wafanyakazi wa tasac wana mishahara minono kuliko hao wa bandari....
Maisha ya mfanyakazi wa bandarini hayana tofauti ni vibarua wao
 
Mwamba ni mfanyabiashara mplipa kodi tu, ndiye anayewalisha hao wote 6.
Akili zako matope kweli..kwahiyo unadhani hao wafanyakazi hawakatwi kodi?..huu ujinga utawatoka lini?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom