Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Hawafui dafu maana jamaa wanawalinda sana wafanyakazi waoInamaana BOT wachovu kwa hawa jamaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawafui dafu maana jamaa wanawalinda sana wafanyakazi waoInamaana BOT wachovu kwa hawa jamaa?
Hawa pangu pakavu tia mchuzi.Jwtz wamesahaulik
Tena kodi ya wafanyakazi haina kukwepa wala kutoa risiti fakeAkili zako matope kweli..kwahiyo unadhani hao wafanyakazi hawakatwi kodi?..huu ujinga utawatoka lini?
#MaendeleoHayanaChama
Wew jwtz wapo vzr mnooHawa pangu pakavu tia mchuzi.
Labda mwenye jiwe moja na kuendelea
may be alimaanisha uwe daktari wa mashirika na c wa mahospitalini...Exposure tu.
Wakati nakua nilikuwa naambiwa soma uwe daktari upate mshahara mkubwa lakini baada kuwa mtu mzima naona kuna fani zinakunja parefu kuliko daktari.
Aliyenishauri hakuwa na exposure ya mashirika.
mkuu hao Tma sindo wa hali ya hewa au??kumbe wapo vizuri naoHizi ndizo
1.TMAA graduate alikuwa anaanza na 4.5 bahati mbaya Magu ameivunja.
2.TCRa wanaanza na 4.
3.Ewura 3.5
4.TPA 2.8
5.REa 2.5
BoT,TPDC,TRA, NSSF,na wengineo wengi wanaanza 2 hadi 1.5 na hao TPDC ni 1.8.
Kazi kwako.
Hapa hatuongelei mshahara wa laki 9.Wew jwtz wapo vzr mnoo
Tanzania Mineral Auditing Agency ila imevunjwa kwa sasamkuu hao Tma sindo wa hali ya hewa au??kumbe wapo vizuri nao
shukrani..na vipi Tanzania Meteorology Agency nao wapo vzr au?Tanzania Mineral Auditing Agency ila imevunjwa kwa sasa
Wakawaida tu ila sio sawa na TAMISEMIshukrani..na vipi Tanzania Meteorology Agency nao wapo vzr au?
Mimi nasungumzia fresh graduates hakuna kama jwtz hapo nchiniHapa hatuongelei mshahara wa laki 9.
Narudia tena hao hawapo kwenye miamba labda kuanzia nyota moja kwenda juu
Mtoa mada punguza ujuaji umeuliza unapewa majibu alafu unaleta ujuaji sasa kama unajua kwann umeulizaHapa hatuongelei mshahara wa laki 9.
Narudia tena hao hawapo kwenye miamba labda kuanzia nyota moja kwenda juu
Mkuu una uhakika na hiki unachokisema hapa?Mimi nasungumzia fresh graduates hakuna kama jwtz hapo nchini
mkuu uliposema TAMISEMI umemaanisha nini?..Ina maana hao miamba hapo juu ajira zao hazipitii TAMISEMI a.k.a Ajira portal?Wakawaida tu ila sio sawa na TAMISEMI
7. Ongezea na PCCB mzeeKati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.
4. TPA
Tanzania Port Authority.
5. TRA
Tanzania Revenue Authority.
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
Hero,sumai?keiya?Mimi nasungumzia fresh graduates hakuna kama jwtz hapo nchini
TAMISEMI ni TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- Jaffo.mkuu uliposema TAMISEMI umemaanisha nini?..Ina maana hao miamba hapo juu ajira zao hazipitii TAMISEMI a.k.a Ajira portal?
Labda engineer ila graduate wengine TANESCO kawaida tuBila TANESCO thread yako ni batili