- Thread starter
- #81
Hawa nao si haba7. Ongezea na PCCB mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa nao si haba7. Ongezea na PCCB mzee
Ni kweli walianza na hyo ila waliaonza na hyo sa hvi wameshafika 2.5 milKuna zile ajira 400 za TRA interview ilifanyika DUCE, kuna jamaa yangu alipata ila anasema salary walianza na laki 9.6
Hata 1mill haikufika sijui alikuwa ananidanganya yule jamaa?
Asante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri..nilichanganya..inaonekana una ndoto za kufanya kazi na moja wapo wa miamba...basi nakuombea sana na tuzidi kuombeana na kupambana maana hata mimi ni ndoto yangu pia..But i hope itatimia one day kwa uweza wa Mungu.TAMISEMI ni TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- Jaffo.
Ajira Portal ni WIZARA YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA - Mkuchika.
Hata hao wanapita ajira portal/utumishi kama ajira nyingine zote
Hata kipindi sisi wengine tunaambiwa hakuna ongezeko ila kuna watu walikuwa wanajiongezeaNi kweli walianza na hyo ila waliaonza na hyo sa hvi wameshafika 2.5 mil
Hao ndio wanalipwa sisi wengine huku ni kama tunapewa posho tuAsante sana mkuu kwa maelezo yako mazuri..nilichanganya..inaonekana una ndoto za kufanya kazi na moja wapo wa miamba...basi nakuombea sana na tuzidi kuombeana na kupambana maana hata mimi ni ndoto yangu pia..But i hope itatimia one day kwa uweza wa Mungu.
Hivi vijana bado wanamatumaini ya kusubili ajira!!Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.
4. TPA
Tanzania Port Authority.
5. TRA
Tanzania Revenue Authority.
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
Ilikuwa milioni 600 na point kadhaa za vitafunwa kwa mwaka kwa mujibu wa ripoti ya CAG.Tanapa wanakula breakfast ya 1bilion
Haijawahi kufika mkuu,Uncle lini kaongeza mshahara?Ni kweli walianza na hyo ila waliaonza na hyo sa hvi wameshafika 2.5 mil
Mkuu ongezeko la zaid ya asilimia 100 ndani ya miaka 3 ivi? ni kwenye hii awamu ambayo watumishi wanalalamika juu ya nyongeza ya mishahara?Ni kweli walianza na hyo ila waliaonza na hyo sa hvi wameshafika 2.5 mil
ExactlyKuna zile ajira 400 za TRA interview ilifanyika DUCE, kuna jamaa yangu alipata ila anasema salary walianza na laki 9.6
Hata 1mill haikufika sijui alikuwa ananidanganya yule jamaa?
Hakuna kitu,Jwtz umewasahau
Hao hawalipwi, bali wanajilipa wenyewe kwa scale zao wanazojipangia.Hao ndio wanalipwa sisi wengine huku ni kama tunapewa posho tu
Hela ya ugali tu na kubadilisha mboga hakuna kingineNa TPDF
Nikweli usemacho mfano Geita Gold Mine (GGM) ila hapa tunaongelea taasisi za serikali tu. Hao wa NGO tutawajadili siku nyingineHalafu wengi hamzijui NGOs zile kubwa, hela nje nje
😀 😀 😀 😀BANDARINI NA TRA nasikia wanapiga maslahi mazuri sana mkuu, hao wengine siajapata taarifa zao kivile
Mazingira bora ya nazi au ya kazi?