Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Figure zao zipoje.?Tanapa
CWT? [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona walimu na polisi umewaruka?
Kama hujui TANESCO iko kwenye tatu bora au no. 1 kabisaTanesco takataka tu.
Figure za TANAPA sijui ila ninachojua kuna dogo aliajiriwa pale kama mlinzi mwaka juzi alianza na laki 9 kama salary.Figure zao zipoje.?
Hata wengine TANESCO wako vizuri kushinda Bandari hata TRALabda engineer ila graduate wengine TANESCO kawaida tu
HapanaKama hujui TANESCO iko kwenye tatu bora au no. 1 kabisa
Kuzuri huko ila Kupata sasa..!!Figure za TANAPA sijui ila ninachojua kuna dogo aliajiriwa pale kama mlinzi mwaka juzi alianza na laki 9 kama salary.
Bado house allowance, transport allowance e.t.c
Yah, kwa Dollar walikua wanalipwa wale wahindi.Hizo kampuni za simu wanalipana kwa dola
duh,miela yote iyo jamaniYah, kwa Dollar walikua wanalipwa wale wahindi.
Ila kwa fedha yetu ilikua inafika hio thamani ya 72.5 Million
😀😀 Tumechelewa wapi?Tuchape Kazi.
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tulikuwa wapi hadi tuchelewe?😀😀 Tumechelewa wapi?
Tulipokuwa mlimani kuna jamaa alikuwa anasoma wildlife ana one ya 7 PCB. Kila mtu anamwambia kwanini hujaenda medicine Muhimbili anacheka tu kumbe alikuwa anajua anachokifanya.Tanapa Graduate anaanza na 3 p
Point something
Bado kuna nyama pori za bureTanapa Askari mwenye cheti cha Basic tu aliyesoma pale Pasiansi mwanza kwa mwaka moja anaanza na Basic Salary ya Million 1.2