Euroleague
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 515
- 1,410
Shida wengi wanaojadili hawajawahi kupitia hizi taasisi. Hali ni Mbaya. Kama TANAPA ndio usiseme, watu wa hazina wanacheka tu wakiona hii mada.Kwenye awamu hii TANAPA wanaisoma namba. Zile posho walizokuwa wakijigawia kwishney
JESUS IS LORD