Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Ukisoma huu uzi bila kutumia na akili zako utapata tabu sana.

Ukiona hiyo sijui TRA, BOT n.k kumbuka sio wafanyakazi wote utakuta waliopo iyo level ni 10-30% ya wafanyakazi wengine ni hohehahe kama hohehahe wengine
 
Ukisoma huu uzi bila kutumia na akili zako utapata tabu sana.

Ukiona hiyo sijui TRA, BOT n.k kumbuka sio wafanyakazi wote utakuta waliopo iyo level ni 10-30% ya wafanyakazi wengine ni hohehahe kama hohehahe wengine
Wafanyakazi wangapi wa TRA unaowajua wewe wako hohehahe?
 
Ukisoma huu uzi bila kutumia na akili zako utapata tabu sana.

Ukiona hiyo sijui TRA, BOT n.k kumbuka sio wafanyakazi wote utakuta waliopo iyo level ni 10-30% ya wafanyakazi wengine ni hohehahe kama hohehahe wengine
Ukikuta wa hivyo basi ujue ana laana ya ukoo hela haikai au ni mtumiaji mbovu wa hela
 
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.

2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.

3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.

4. TPA
Tanzania Port Authority.

5. TRA
Tanzania Revenue Authority.

6. TANAPA
Tanzania National Park

Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
E.W.U.R.A hukuwataja..au wako hovyo mkuu?
 
Kuna zile ajira 400 za TRA interview ilifanyika DUCE, kuna jamaa yangu alipata ila anasema salary walianza na laki 9.6
Hata 1mill haikufika sijui alikuwa ananidanganya yule jamaa?

Kweli mimi mwenyewe na washkaj kibao wanakula 9k
 
Back
Top Bottom