Junior Hamis
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 354
- 294
ndio mwenye, masters au phdMfano private mwenye degree ya kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio mwenye, masters au phdMfano private mwenye degree ya kwanza
kweli mkuu, hajui hata private siku hizi kuna wengine wakijumulisha na allowance nyingine wanafika au kuzidi 1.5m per month hapo hajagusa afisa yeyote yule
Wafanyakazi wangapi wa TRA unaowajua wewe wako hohehahe?Ukisoma huu uzi bila kutumia na akili zako utapata tabu sana.
Ukiona hiyo sijui TRA, BOT n.k kumbuka sio wafanyakazi wote utakuta waliopo iyo level ni 10-30% ya wafanyakazi wengine ni hohehahe kama hohehahe wengine
Ukikuta wa hivyo basi ujue ana laana ya ukoo hela haikai au ni mtumiaji mbovu wa helaUkisoma huu uzi bila kutumia na akili zako utapata tabu sana.
Ukiona hiyo sijui TRA, BOT n.k kumbuka sio wafanyakazi wote utakuta waliopo iyo level ni 10-30% ya wafanyakazi wengine ni hohehahe kama hohehahe wengine
E.W.U.R.A hukuwataja..au wako hovyo mkuu?Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.
4. TPA
Tanzania Port Authority.
5. TRA
Tanzania Revenue Authority.
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
Kuna zile ajira 400 za TRA interview ilifanyika DUCE, kuna jamaa yangu alipata ila anasema salary walianza na laki 9.6
Hata 1mill haikufika sijui alikuwa ananidanganya yule jamaa?
kwa Serikalini sawa, maana nishakuwa finance department kampuni moja ya simu Tz,FD na vice wake jumla ya mshahara wao ilikua 72.5 million, hapo bado allowances .
Jamani FD ni Finance Director
Siamini na sidhani..sasa tukijumlishia na allowances zote jumla itakuwa ngapi?..kumbuka kule napo kuna vitengo tofauti..may be mapokezi.Kweli mimi mwenyewe na washkaj kibao wanakula 9k
hata huyo mwenye jiwe ni wale wale tu..Hawa pangu pakavu tia mchuzi.
Labda mwenye jiwe moja na kuendelea
Huko voda sio mchezoWewe siyo siri uko Vodacom mkuu ndhakupata[emoji3][emoji3]
Hao wote EWURA, PURA, TANROAD, TBS wote wako njemaE.W.U.R.A hukuwataja..au wako hovyo mkuu?
Rushwa ya kuunganishwa umeme imekuwa ni kawaida kwao.Tanesco takataka tu.
Hawa wageni ndio wanajiongezea taratibuelectronic Government Authority (eGA) nasikia wanakuja vzr
Mzee wa Maritime vipi huko kwenu TASAC?Hatari Sana.
Haya mambo ni magumuRushwa ya kuunganishwa umeme imekuwa ni kawaida kwao.
Wew jwtz wapo vzr mnoo
Mkuu wanalipwa vizuri sana, Mimi nakomaa na mishe nyingine zinazokuja mbele yangu.Mzee wa Maritime vipi huko kwenu TASAC?