Kati ya Ilala dar es salaam na nyamagana mwanza . Wilaya ipi imeendelea?

Kati ya Ilala dar es salaam na nyamagana mwanza . Wilaya ipi imeendelea?

Ila wasukuma mnajipaga moyo kijinga yaani. Swali gani sasa hili

Yaani ushamba wenu unawafanyaga mnaona mwanza ni likitu limoja kubwaaaaaaaa kama Newyork labda. Mtu umetoka Nyancheche huko sengerema au Nyabila kata ya Ngoma unafika nyamagana unajiona umeshaona kila kitu, unahisi hata Ilala haifui dafu.

Hebu tafuta nauli kwa shemeji yako huyo polisi hapo nyamagana uende Dar ukapanue uelewa wako
 
Habari wadau . Nataka kufaham kati ya wilaya ilala (Jiji) dar es salaam na wilaya ya nyamagana (Jiji) mwanza. Ip imeendelea kimajengo, miundombinu, mapato na huduma za kijamii
Tembea ufanye research majibu ya hapa Ni ya mashindano na mabishano
 
Hapo linganisha ilala na mwanza, bado mwanza hatoboi kivyovyote....si kimakazi wala idadi ya watu wala kimapato wa kimajengo.....yahn mwanza anakalishwa nje ndani.
 
Ila wasukuma mnajipaga moyo kijinga yaani. Swali gani sasa hili

Yaani ushamba wenu unawafanyaga mnaona mwanza ni likitu limoja kubwaaaaaaaa kama Newyork labda. Mtu umetoka Nyancheche huko sengerema au Nyabila kata ya Ngoma unafika nyamagana unajiona umeshaona kila kitu, unahisi hata Ilala haifui dafu.

Hebu tafuta nauli kwa shemeji yako huyo polisi hapo nyamagana uende Dar ukapanue uelewa wako
Ila nyamagana Ina maghorofa ya kisasa pia Ina mzunguko wa watu wengi Sana mjini. Pia biashara Imechangamka
 
Hapo linganisha ilala na mwanza, bado mwanza hatoboi kivyovyote....si kimakazi wala idadi ya watu wala kimapato wa kimajengo.....yahn mwanza anakalishwa nje ndani.
Ila nyamagana Ina maghorofa ya kisasa na pia Kuna mzunguko wa watu wengi na biashara ipo
 
Hawana kazi ya kufanya kufananisha vitu ambavyo
Sio sawa. Yani Ilala ufananishe na takataka
 
Habari wadau . Nataka kufaham kati ya wilaya ilala (Jiji) dar es salaam na wilaya ya nyamagana (Jiji) mwanza. Ip imeendelea kimajengo, miundombinu, mapato na huduma za kijamii
Acha kulinganisha Ilala na vitu vya kijinga..!! We ngosha au?
 
Habari wadau . Nataka kufaham kati ya wilaya ilala (Jiji) dar es salaam na wilaya ya nyamagana (Jiji) mwanza. Ip imeendelea kimajengo, miundombinu, mapato na huduma za kijamii
Ila kuna watu huwa sometime tunajizima data 😆
 
Back
Top Bottom