Kati ya imani za Kikristo, Kiislam na zile za asili ni ipi imechocheq umasikini kwa kasi nchini?

Kati ya imani za Kikristo, Kiislam na zile za asili ni ipi imechocheq umasikini kwa kasi nchini?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Hadi sasa bado umasikini ni janga la taifa na mtu mmoja mmoja.

Ukiacha CCM ambayo wanasiasa wanailaumu kwa kukaa madarakani miaka mingi na bado shida ziko palepale jamii mpya imeibuka inalaumu Mifumo ya imani.

Je unadhani ni imani ipi imetoa mchango kwa asilimia kubwa katika umasikini wa taifa?

Je!
Ukristo kwa sababu unasisitiza nchi mpya ya Bwana Yesu ambayo inakata morali ya kuboresha hii yetu ya TZ? Au maombi makali ni kikwazo cha bidii?

Je ni uislam ambayo hauna hamasa kwenye elimu ya dunia inayosababisha kuwa na Madaktari, maengineers, wajasiliamali na wasomi?

Je ni Dini za asili za mababu zetu zinazosisitiza ushirikina, kafara na kupata utajiri kichawi?


Ni hayo tu.
 
Hadi sasa bado umasikini ni janga la taifa na mtu mmoja mmoja.

Ukiacha CCM ambayo wanasiasa wanailaumu kwa kukaa madarakani miaka mingi na bado shida ziko palepale jamii mpya imeibuka inalaumu Mifumo ya imani.

Je unadhani ni imani ipi imetoa mchango kwa asilimia kubwa katika umasikini wa taifa?

Je!
Ukristo kwa sababu unasisitiza nchi mpya ya Bwana Yesu ambayo inakata morali ya kuboresha hii yetu ya TZ? Au maombi makali ni kikwazo cha bidii?

Je ni uislam ambayo hauna hamasa kwenye elimu ya dunia inayosababisha kuwa na Madaktari, maengineers, wajasiliamali na wasomi?

Je ni Dini za asili za mababu zetu zinazosisitiza ushirikina, kafara na kupata utajiri kichawi?


Ni hayo tu.
Umasikini ni suala la mtu binafsi au jamii husika, ila ukrito unapumbaza wafuasi wao na kuwapora mali kutumia maubili yao.
 
HERI WALIO MASIKINI KATIKA KRISTO MAANA HAO NI MATAJIRI

UKIMFUATA YESU KRISTO HAUNA UMASIKINI WOWOTE
 
Hakuna sehemu uislamu umekatza kusoma , kweny uislamu elimu ni ''faradhi'' ni lazima kusoma .

Elimu ya mkoloni haswa Africa watu waliokuwa waislamu walikataliwa kusoma mpaka wabadili dini.
 
Me naona ukifata dini zote unakuwa maskin tu inabid uwe kati kwa kati ukibase sn kw3nye dini kutoboa ni ngumu sn we hebu cheki wale wanaopeleka hela kwa mwamposa ivi kuna siku wanaweza kuwa matajiri wale
 
Hakuna sehemu uislamu umekatza kusoma , kweny uislamu elimu ni ''faradhi'' ni lazima kusoma .

Elimu ya mkoloni haswa Africa watu waliokuwa waislamu walikataliwa kusoma mpaka wabadili dini.
Wacha bwana mkubwa. Kwanini kila siku ni kulaumu tu? Sawa, mbona sasa hakuna wakoloni na ndugu zenu wa Mtwara, Lindi, Tanga, Zanzibar na sehemu zenye waislam wengi hawapeleki watoto shule?
 
Wacha bwana mkubwa. Kwanini kila siku ni kulaumu tu? Sawa, mbona sasa hakuna wakoloni na ndugu zenu wa Mtwara, Lindi, Tanga, Zanzibar na sehemu zenye waislam wengi hawapeleki watoto shule?
Una hakika ? watu wanaenda shule kote . Fuatilia mwaka huu kuandikisha kama sio bora ndio shule zimekosa wanafunzi.
Usiwe mjinga ndio maan wazenji wanawapiga kwa ujinga wenu ! 😀 😀
 
𝐊𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐚𝐦𝐞𝐬𝐡𝐢𝐤𝐚 𝐝𝐢𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐞𝐯𝐢𝐥𝐞 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐨𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐧𝐲𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐳𝐚 𝐢𝐛𝐚𝐝𝐚.. 𝐊𝐚𝐦𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐰𝐚𝐬𝐢𝐨𝐣𝐮𝐚 𝐝𝐢𝐧𝐢 ..

𝐘𝐨𝐭𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐦𝐢𝐳𝐚𝐧𝐢 𝐢𝐩𝐨 𝐬𝐚𝐰𝐚
 
Genesis 1:28 God blessed them(people) and told them" multiply and fill the earth and subdue it . Be masters over the fish and birds and all animals"

Kumbukumbu 28: Itakuwa utakapoisikiza sauti ya Bwana Mungu wako, na kufanya maagizo yake, utabarikiwa mjini utabarikiwa na mashambani, utabarikiwa uzao wa tumbo lako na uzao wa nchi yako, , na uzao wa wanyama wako wa mifugo, , litabarikiwa kapu lako na chombo chako Cha kukandia unga,

Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa utokapo. Bwana atafanya adui zako kupigwa mbele yako...
 
Genesis 1:28 God blessed them(people) and told them" multiply and fill the earth and subdue it . Be masters over the fish and birds and all animals"

Kumbukumbu 28: Itakuwa utakapoisikiza sauti ya Bwana Mungu wako, na kufanya maagizo yake, utabarikiwa mjini utabarikiwa na mashambani, utabarikiwa uzao wa tumbo lako na uzao wa nchi yako, , na uzao wa wanyama wako wa mifugo, , litabarikiwa kapu lako na chombo chako Cha kukandia unga,

Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa utokapo. Bwana atafanya adui zako kupigwa mbele yako...
 
Genesis 1:28 God blessed them(people) and told them" multiply and fill the earth and subdue it . Be masters over the fish and birds and all animals"

Kumbukumbu 28: Itakuwa utakapoisikiza sauti ya Bwana Mungu wako, na kufanya maagizo yake, utabarikiwa mjini utabarikiwa na mashambani, utabarikiwa uzao wa tumbo lako na uzao wa nchi yako, , na uzao wa wanyama wako wa mifugo, , litabarikiwa kapu lako na chombo chako Cha kukandia unga,

Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa utokapo. Bwana atafanya adui zako kupigwa mbele yako...
Maskini wapo tu kila kona , mtu ataishi mwishoe atakufa
 
Back
Top Bottom