Kati ya imani za Kikristo, Kiislam na zile za asili ni ipi imechocheq umasikini kwa kasi nchini?

Kati ya imani za Kikristo, Kiislam na zile za asili ni ipi imechocheq umasikini kwa kasi nchini?

๐Š๐ฎ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐ข๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ฆ๐ž๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐š ๐๐ข๐ง๐š ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฐ๐š๐ง๐š๐จ๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š ๐ณ๐š ๐ข๐›๐š๐๐š.. ๐Š๐š๐ฆ๐š ๐ข๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐ข๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ฌ๐ข๐จ๐ฃ๐ฎ๐š ๐๐ข๐ง๐ข ..

๐˜๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ฆ๐ข๐ณ๐š๐ง๐ข ๐ข๐ฉ๐จ ๐ฌ๐š๐ฐ๐š
Hapo sawa
 
Genesis 1:28 God blessed them(people) and told them" multiply and fill the earth and subdue it . Be masters over the fish and birds and all animals"

Kumbukumbu 28: Itakuwa utakapoisikiza sauti ya Bwana Mungu wako, na kufanya maagizo yake, utabarikiwa mjini utabarikiwa na mashambani, utabarikiwa uzao wa tumbo lako na uzao wa nchi yako, , na uzao wa wanyama wako wa mifugo, , litabarikiwa kapu lako na chombo chako Cha kukandia unga,

Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa utokapo. Bwana atafanya adui zako kupigwa mbele yako...
Ameen
 
Hapo sawa
Mzee baba hakuna impact sema kuna mentallity ya kuachana na mambo fulani, kuna Hadzabe wale washachagua kukaa msituni mpaka kufa kwao zipo jamii nyingi sana africa hata chini wapo watu wanatumia himaya ya budha mpaka kufa kwao wengine hata familia hawana time ya kuzaa watoto.
 
Mzee baba hakuna impact sema kuna mentallity ya kuachana na mambo fulani, kuna Hadzabe wale washachagua kukaa msituni mpaka kufa kwao zipo jamii nyingi sana africa hata chini wapo watu wanatumia himaya ya budha mpaka kufa kwao wengine hata familia hawana time ya kuzaa watoto.
Ni kweli hata wazungu wa kikristo kwenye monastery nyingi wamejifungia wanasali na hawafanyi kazi yoyote.
Mamonk wahindu na wakichina wanaishi wanasali bila kazi.

Nimekuelewa sana.
 
Ni kweli hata wazungu wa kikristo kwenye monastery nyingi wamejifungia wanasali na hawafanyi kazi yoyote.
Mamonk wahindu na wakichina wanaishi wanasali bila kazi.

Nimekuelewa sana.
Chaguo lao, maana kifo tu ndio tuna uhakika nacho.
 
Usome nini.
Elimu yote ile unayojua kwa sababu elimu ya kwanza kupewa mwanadamu ni ya mazingira ...Kuna elimu nyingi sana sema ni mfumo ambao dunia ya sasa haitambui.

Elimu hiyo ndio waliotuma mpaka kweny mifumo ya bank , udaktari.
 
Back
Top Bottom