Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 261
Kwanini Mo?kwa maoni yangu
miaka hiyo, Jay Mo alikua hatari
Hadi leo JAY MO ni moto wa kuotea mbali, sema game limebadilisha njiakwa maoni yangu
miaka hiyo, Jay Mo alikua hatari
mashairi yalipangika, yenye vina , yenye ujumbe, flow nzuri, kupita kwenye beat vizuri sanaKwanini Mo?
je Q hakuweza fanya hivyo?mashairi yalipangika, yenye vina , yenye ujumbe, flow nzuri, kupita kwenye beat vizuri sana
humkinai kumsikiliza
MALCOM LUMUMBAmashairi yalipangika, yenye vina , yenye ujumbe, flow nzuri, kupita kwenye beat vizuri sana
humkinai kumsikiliza
Ni hatari huyo Mo mashoto .Ule wimbo wake wake wa stori 3 usikilize .Kutunga hadithi 3 ndani ya wimbo moja sio masihara na zote zinaeleweka .Huyo machunusi wako hata awekwe library ya mkoa miaka 10 hawezi kutunga wimbo ka huo labda kidogo Ngwair.Kwanini Mo?
hatari sana huyu jamaa
Ohooo machunusi tena[emoji2][emoji2]Ni hatari huyo Mo mashoto .Ule wimbo wake wake wa stori 3 usikilize .Kutunga hadithi 3 ndani ya nyimbo moja sio masihara na zote zinaeleweka .Huyo machunusi wako hata awekwe library ya mkoa miaka 10 hawezi kutunga wimbo ka huo labda kidogo Ngwair.
AiseeMoja ya nyimbo zangu pendwa kutoka Kwa msanii wa Rap' Fid Q ft Paul clement - Tajiri yangu"
Kwenye second verse kuna sehemu anasema "Hauwezi Kununua Uhai Sasa Unajidai Kwa Lipi"?
Fid Q Baba lao[emoji817][emoji119][emoji119]
[emoji3][emoji3]Mkimaliza niambieni nije kuhesabu kura
So Mo juu?Jaymo
Maisha boarding
Bishoo
Kama unataka demu
Mvua na Jua
Pamoja na kumpa heshima yake Fid Q ila huyu mwamba anaradha yake tamu sana
Nilikuwa na upala wakaniona bishoohatari sana huyu jamaa
Kwahiyo Mo juu[emoji2]Nilikuwa na upala wakaniona bishoo
Kama unataka demu mkali... Bishoo[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapo ujakuta na Ni mshamba - Jay Moe feat Juma Nature
hahahah kitambo sana VetaNilikuwa na upala wakaniona bishoo
Kama unataka demu mkali... Bishoo๐ ๐ ๐
Hapo ujakuta na Ni mshamba - Jay Moe feat Juma Nature
Moja ya nyimbo zangu pendwa kutoka Kwa msanii wa Rap' Fid Q ft Paul clement - Tajiri yangu"
Kwenye second verse kuna sehemu anasema "Hauwezi Kununua Uhai Sasa Unajidai Kwa Lipi"?
Fid Q Baba lao๐ฏ๐๐