Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na nilikua nishamsahau mpaka suraKumpe unampata Bodea.. Huyu mtu sijui alipoteleaga wapi..
Mkuu nahitaji list inayofanya jay to the moe awe mkaliNimegundua wanaosema fid Q mkali ni kizazi cha 2010 kwa sisi wa miaka ya 1986 tunasema jay mo ni best tena anakimbiza vizazi vyote vya Zamani hadi sasa kama unabisha kasikilize nisaidie kushare ndo utajua maana mkongwe alafu kachana kisasa
Huyu naona hakuwaga na njaa kali, kama alikuwa wakishua flani.. kuna nyakati alikuwa yupo kwa marekani (usa) huenda alipoteleaga hukona nilikua nishamsahau mpaka sura
nimevuta kumbukumbu kinoma ndiyo kaja
kapotea sana
hahaha noma sanahakuwaga na njaa kali
Maisha ya boardingTufanye kulist hit song za kila mmoja
Naanza fid Q
1. Am professional
2. Mwanza mwanza
3. August 13
4. Ielewe mitaa
5. Propaganda
6. Ulimi mbili
7. bongo hiphop
8. Utaua game
9.
10.
11.
13.
Mtu aje na list ya jay Mo mchopanga tafadhari[emoji120]
Wakishua kweli,mzee wake alikua anazo anazo tangu enzi hizoHuyu naona hakuwaga na njaa kali, kama alikuwa wakishua flani.. kuna nyakati alikuwa yupo kwa marekani (usa) huenda alipoteleaga huko
😊😊 Hakuta taabu sana, itakuwa anakula maisha yake safi nje ya muzikiWakishua kweli,mzee wake alikua anazo anazo tangu enzi hizo
Hakimbizi vizazi vyote acha kudanganya watu.Nimegundua wanaosema fid Q mkali ni kizazi cha 2010 kwa sisi wa miaka ya 1986 tunasema jay mo ni best tena anakimbiza vizazi vyote vya Zamani hadi sasa kama unabisha kasikilize nisaidie kushare ndo utajua maana mkongwe alafu kachana kisasa
Tufanye kulist hit songs za kila mmoja
Naanza fid Q
1. Am professional
2. Mwanza mwanza
3. August 13
4. Ielewe mitaa
5. Propaganda
6. Ulimi mbili
7. bongo hiphop
8. Utaua game
9. Danger
10. Shimo limetema
11. Usinikubali haraka
13. Maselabration
14. Tajiri yangu
15. Temanoleji
16. Bendera ya chuma
17. Sumu
18. Ole chizza
Mtu aje na list ya jay Mo mchopanga tafadhari[emoji120]
MO techniquesWakuu kwema? Poleni na majukumu, Njooni tujadili hapa kidogo.
At their peaks, Kati ya JAY MOE Na FID Q. Nani ni hatari zaidi?
Karibuni...
#forgive me
Nenda kaipakue vidmateKaka hii nyimbo nimetafuta hadi nimechoka ...huko Boomplay au Audiomak ipo...lkn mm nataka ile ya kudownload iwe kwenye simu niweke kwa frash lkn hola.....unayo unitupie hapa?
Nimeisha mtundikia hapo ajuuNenda kaipakue vidmate
Umeiona list ya fid Q hapo juu?List Ya Jay Moe.
1:Mpenzi kwa heri ft Tid
2:Mvua na jua
3:Maisha ya boarding.
4:Mshamba
5:Cheza kwa steps
6:Kimya kimya vs Ngwea
7:Stori tatu.
8😛esa ya Madafu
9:Famous ft p funk.
10:Kama unataka demu ft solo thang&sir nature.