Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Fed Q ladha ya vina hanaWakuu kwema? Poleni na majukumu, Njooni tujadili hapa kidogo.
At their peaks, Kati ya JAY MOE Na FID Q. Nani ni hatari zaidi?
Karibuni...
#forgive me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fed Q ladha ya vina hanaWakuu kwema? Poleni na majukumu, Njooni tujadili hapa kidogo.
At their peaks, Kati ya JAY MOE Na FID Q. Nani ni hatari zaidi?
Karibuni...
#forgive me
Leooo mood ka yote weekndfevr 🤣🤣🤣🤣🤣Ndio maana yeka mwanawane.. Ebu siki vitu hapaaa... Aseeee leo nimepata mood ya weekend acha nisake kiwanje kizuri nimpe DJ list yangu 😅😅😅😅
View attachment 2426943
MALCOM LUMUMBA
Poor Brain
.jymoo maisha ya body
Hatarii sana ile ngomaaaa 😅😅.jymoo maisha ya body
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umo kumbee eeh so poa yaan hizo ndo zanguHatarii sana ile ngomaaaa 😅😅View attachment 2427201
Bwanaaa weee, leo nimehamuka vizuri acha nimpitie kichaa wangu Lenie.. Akakgonga Savanna badae nimrudishe kwaoLeooo mood ka yote weekndfevr 🤣🤣🤣🤣🤣
Moe fundi sana na huwa namkubali sana kaka ya Solo thang🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umo kumbee eeh so poa yaan hizo ndo zangu
Visavana vingapi nikuwekee ukija unavipiga tuuNa nina kiu balaa chalii angu, em fanya namna usichelewe
J mo ni mwanaharakat sana... Na mwenzak kalapinaMoe fundi sana na huwa namkubali sana kaka ya Solo thang
Viwili tu vinanitosha, na nafsi inakua imeburudika vemaVisavana vingapi nikuwekee ukija unavipiga tuu
Hupendi mambo mengi ndio uzuri wa wakishua 😅😅 angekuwa uswazi dotcom mbona ningekoma walahiViwili tu vinanitosha, na nafsi inakua imeburudika vema
Hahahaa sema hamkomagi, mnawafata hivyo hivyo mkihisi labda watabadilika af badae wakiwamalizia hela mnalalamika🤣🤣Hupendi mambo mengi ndio uzuri wa wakishua 😅😅 angekuwa uswazi dotcom mbona ningekoma walahi
Sio wachumi, mtu unamuuliza kabla hajafika, inakuwa nzuri akisema Savanna mbili, unachukua cha ten, ikiisha tena mnafunga safari, acha kadi ya bank home, no connection ya simbanking na salio kwenye mpesa na simu unaacha home kabisa.. Ikiisha tena lazima muondokeHahahaa sema hamkomagi, mnawafata hivyo hivyo mkihisi labda watabadilika af badae wakiwamalizia hela mnalalamika🤣🤣
Bado hajasema ana njaa hajala toka jana, na pisi umeielewa imekamilika kila idara aah mbona utafata tu kadi home hata na boda bodaSio wachumi, mtu unamuuliza kabla hajafika, inakuwa nzuri akisema Savanna mbili, unachukua cha ten, ikiisha tena mnafunga safari, acha kadi ya bank home, no connection ya simbanking na salio kwenye mpesa na simu unaacha home kabisa.. Ikiisha tena lazima muondoke
😅😅😅 Kula akapike kwake ale.. Hatutakiwa wanawake wavivu, wanawake chuma uleteBado hajasema ana njaa hajala toka jana, na pisi umeielewa imekamilika kila idara aah mbona utafata tu kadi home hata na boda boda
Chuma ulete 🤣🤣🤣😅😅😅 Kula akapike kwake ale.. Hatutakiwa wanawake wavivu, wanawake chuma ulete
🙌🙌🙌"Kwangu furaha nikiwa na MUNGU sio mlungula
Na pia siku zote mla raha na chungu hula
Najua nilipotokaa, Najua wapi nilipo isipokuwa ni we pekee unajua lini nitafika mwisho"
huu wimbo ni gospel flani inspirational ni kama fid alikuwa anaongea na Sir. God ile deep. Naukubali sana pia, ngoja niudaunilodi ✊