dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
"hapa hakuna dem kwa kwenda naye nyama kwa nyama"Jirushe rmx mle mnaichukulia kawaida eeh
na zile kick/snare/hi hat za Mdachi hatari sana qmmmmq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"hapa hakuna dem kwa kwenda naye nyama kwa nyama"Jirushe rmx mle mnaichukulia kawaida eeh
Halafu wote hao ukiondoa music waliokuwa wanafanya zamani ila kwa sasa kuna huyu dogo wanamuita Young Killa anawafunika wotejing'ate hadi pua kama unaweza vyote
Tanzania ni Demu wa mtungo wanamuita cha wote.
Huu moyo huficha mambo mengi ambayo kwa macho huyaoni.
Ukiacha hisia zikuendeshe kwa ujeuri utaishia kufeli
Usilale fofo ruzuku itakwisha
kama unaitaka shibe hakikisha haukombi mboga
Mapenzi ya wadau wa mjini hugeuka samaki na maji
Najiheshimu ili niheshimike
urafiki sio urafiki usipochanganywa na kazi
Kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni bora
Uhuru wa miguu na mikono,akili imefungwa mnyororo
Unamuita wife au mama mamito,unapata habari za wanafki kuna walafi wanamla hadi jicho.
Washkaji wengi ni wanafki kama kamasi ndani ya pua.
Usimuone simba amelo ukazani ni paka
Usiukaze msuri kama upaja wako mdogo.
nalindwa na dua za mama tangu baba simjui
Kama kukupenda ni dhambi basi shetani yu nami
Haya manyunyu ya mvua kwa siafu ni mafuriko.
Money makes a Man lakini love ni hustle
PENYE HAPPY JITUSU,UNAFKI USIURUHUSU,YAJUE YA KUZINGATIA ILI UACHANE NA YASIOKUHUSU.
Fareed Kubanda ni zaidi ya Mcz wote ukiwatoa (1) Sugu
(2)Afande Sele
(3)Professor Jay
Lealical And Natural Gifted for AfricaWakuu kwema? Poleni na majukumu, Njooni tujadili hapa kidogo.
At their peaks, Kati ya JAY MOE Na FID Q. Nani ni hatari zaidi?
Karibuni...
#forgive me
Nenda kamskilize Dizasta Vina alafu njoo utoe ushuhuda wako hapa jukwaani.Halafu wote hao ukiondoa music waliokuwa wanafanya zamani ila kwa sasa kuna huyu dogo wanamuita Young Killa anawafunika wote
Number hazidanganyi mkuu... 😅😅ila nyie Fid mnamchukuliaje yaani?
Moe ni mkali sikatai ila ngosha ni noma zaidi
Msikilize humo goma jipya liketoka .... Goma la Free - Lord Eyes Ft Jay Moe & Nikki Mbishi... Jay Moe ni noma sana .... Hachoshi jamaa taknikali yamelalaJaymo
Maisha boarding
Bishoo
Kama unataka demu
Mvua na Jua
Pamoja na kumpa heshima yake Fid Q ila huyu mwamba anaradha yake tamu sana
Hapana, nguvu ya MAMBA ni majiNumber hazidanganyi mkuu... 😅😅
Mo kashinda👏👏👏👏👏👏
Yeah!kwa maoni yangu
miaka hiyo, Jay Mo alikua hatari
Nitumie nyimbo za Mo ndugu yangu hata PMNdio maana yeka mwanawane.. Ebu siki vitu hapaaa... Aseeee leo nimepata mood ya weekend acha nisake kiwanje kizuri nimpe DJ list yangu 😅😅😅😅
View attachment 2426943
MALCOM LUMUMBA
Poor Brain
Jay moe moto wa kuotea mbali sanaa, fid q anafanya kwa kiasi chakeWakuu kwema? Poleni na majukumu, Njooni tujadili hapa kidogo.
At their peaks, Kati ya JAY MOE Na FID Q. Nani ni hatari zaidi?
Karibuni...
#forgive me
Bodea ni chotara mama yake ni mzungu na baba yake ni wa Pemba kama sijakosea. Alikuwa wakishua flani hivi!Huyu naona hakuwaga na njaa kali, kama alikuwa wakishua flani.. kuna nyakati alikuwa yupo kwa marekani (usa) huenda alipoteleaga huko
Esmiii Kalapina ya habibi mashaallah Karama Mullah....Kikosi cha Mizinga!!!J mo ni mwanaharakat sana... Na mwenzak kalapina
Maisha ya bordingEsmiii Kalapina ya habibi mashaallah Karama Mullah....Kikosi cha Mizinga!!!
Nyuma ya best bite hivi nikitoka shule nilikuwa napitia hivi block 41....
Wakuu kwema? Poleni na majukumu, Njooni tujadili hapa kidogo.
At their peaks, Kati ya JAY MOE Na FID Q. Nani ni hatari zaidi?
Karibuni...
#forgive me