Fid Q
Fid Ni hazina kwa taifa letu, mpaka sasa hapajakuwapo msanii mwenye mashairi ya kufikirika kama fid. Majani mwenyewe alishakirii, fid ni Legend, and HE DO FOR SAKE OF HIP HOP not pesa au umarufu.
Ingawa anajua ustaa mzigo wa miba, fid amekubali kubeba, inasikitisha mnapomkonyeza kwenye giza, au kwenye mwanga mnavyompakaa punda stripe ili awe Zebra, fid yupo High level ndo maana humwoni, na atabaki juu kama kizIbo cha soda. Fid hazeeki anavua magamba kama nyoka,fid is man and half, fid ni simba ambaye ni raster.