Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hujatudanganya kweli...simba maishani [emoji1][emoji1]Ni mshambaaaa mshikaji kumbe Simbaaaa maishaani. Pini za Jay Mo na Nature nimechana sana kwenye maconcert o level
Stori 3Jaymo
Maisha boarding
Bishoo
Kama unataka demu
Mvua na Jua
Pamoja na kumpa heshima yake Fid Q ila huyu mwamba anaradha yake tamu sana
Muombe msamaha Cowbama.....Jay mo ni mzuri sana ila sio kwa ngosha
binafsi Jay moe ni mkali kuliko hta The Albert mangwair.
Simu yangu ni soo,kushika mtu sikubaliNdio maana yeka mwanawane.. Ebu siki vitu hapaaa... Aseeee leo nimepata mood ya weekend acha nisake kiwanje kizuri nimpe DJ list yangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2426943
MALCOM LUMUMBA
Poor Brain
Ni kwa wimbo huu au verse hii tu ndio inamfanya Fid Q kuwa baba lao!?Fid Q Baba lao💯🙌🙌
Moja ya nyimbo zangu pendwa kutoka Kwa msanii wa Rap' Fid Q ft Paul clement - Tajiri yangu"
Kwenye second verse kuna sehemu anasema "Hauwezi nunua Uhai Sasa Unajidai Kwa Lipi"?
Joh Makini wa Sinoni bado naona unamuandama Fid Q kuwa "anakopi kwenye vitabu babu"Jay Mo yupo vizuri kutofautisha na Fid Q mkalimani.
Chotara wa Kijerumani yule. Tz alikuja tu ukubwani na alirudi kwao alikokulia.na nilikua nishamsahau mpaka sura
nimevuta kumbukumbu kinoma ndiyo kaja
kapotea sana
Twende Kwa MgangaMaisha ya boarding
Mvua na jua
Kimya kimya
Pesa madafu
Famous
Kama unataka demu
Cheza Kwa step
Hili game
Nisaidie kushare
Wewe Bishoo
Ulimwengu ndio mama
Hapa alikuwa anazungumziwa Bodea na sio Jay MoeWakishua kweli,mzee wake alikua anazo anazo tangu enzi hizo
Hiyo 22 "Ngosha The Swagga Don" ni moto aisee. Alikuja kitofauti sana. Marco Chali alifanya mauaji kwenye beatTufanye kulist hit songs za kila mmoja
Naanza fid Q
1. Am professional
2. Mwanza mwanza
3. August 13
4. Ielewe mitaa
5. Propaganda
6. Ulimi mbili
7. bongo hiphop
8. Utaua game
9. Danger
10. Shimo limetema
11. Usinikubali haraka
13. Maselabration
14. Tajiri yangu
15. Temanoleji
16. Bendera ya chuma
17. Sumu
18. Ole chizza
19. Neno
20. Mwanamarundi
21. Ripoti za mtaa
22. Ngosha the swager don
Mje na list kama hiyo[emoji115] kuthibitisha ubora wa hao mnaowaweka mizani na FID Q sio kelele tu
Mtu aje na list ya jay Mo mchopanga tafadhari[emoji120]
aiseeChotara wa Kijerumani yule. Tz alikuja tu ukubwani na alirudi kwao alikokulia.
Namkubali sana Fid, ila baada ya kujua kumbe na yeye ni mwana Fisiemu kuanzia siku ile sitaki kusikia nyimbo yake yoyote. Ila maisha ya boarding siyo mchezo ile kituJaymo
Maisha boarding
Bishoo
Kama unataka demu
Mvua na Jua
Pamoja na kumpa heshima yake Fid Q ila huyu mwamba anaradha yake tamu sana
Muombe msamaha Cowbama.....
Mzee mbona unavuka mipaka. Tambua hadi Yesu anarudi kwenye bongo fleva hatakuja kutokea rapa kama ngwair.Jay mo ni mzuri sana ila sio kwa ngosha
binafsi Jay moe ni mkali kuliko hta The Albert mangwair.