Kati ya Jay Moe na Fid Q nani mkali?

Kati ya Jay Moe na Fid Q nani mkali?

Japo wote ni wana hip hop lakini wana kariba tofauti sana

Jay Mo ni fundi wa storytelling
Ni aina ya wana hip hop wanao penda kustick kwenye hoja moja katika wimbo na kutengeneza hadithi ya kuvutia
Mashairi yake yapo so direct huitaji tafukuri ya kina kumuelewa Jay More na ana punchline za kawaida sana

Fid Q ni muandishi mzuri sana (lyrics and poetry) anaimba vitu vingi sana kwenye nyimbo moja (inaonekana anasoma sana vitabu na kutafuta line kali)
Ana flow nzuri na zinabadilika badilika
Uko biased mzee sana maana uko koto tayari mo alishaprove kuwa yeye ni monster uko kote
 
jing'ate hadi pua kama unaweza vyote

Tanzania ni Demu wa mtungo wanamuita cha wote.

Huu moyo huficha mambo mengi ambayo kwa macho huyaoni.

Ukiacha hisia zikuendeshe kwa ujeuri utaishia kufeli

Usilale fofo ruzuku itakwisha

kama unaitaka shibe hakikisha haukombi mboga

Mapenzi ya wadau wa mjini hugeuka samaki na maji

Najiheshimu ili niheshimike

urafiki sio urafiki usipochanganywa na kazi

Kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni bora

Uhuru wa miguu na mikono,akili imefungwa mnyororo

Unamuita wife au mama mamito,unapata habari za wanafki kuna walafi wanamla hadi jicho.

Washkaji wengi ni wanafki kama kamasi ndani ya pua.

Usimuone simba amelo ukazani ni paka

Usiukaze msuri kama upaja wako mdogo.

nalindwa na dua za mama tangu baba simjui

Kama kukupenda ni dhambi basi shetani yu nami

Haya manyunyu ya mvua kwa siafu ni mafuriko.

Money makes a Man lakini love ni hustle

PENYE HAPPY JITUSU,UNAFKI USIURUHUSU,YAJUE YA KUZINGATIA ILI UACHANE NA YASIOKUHUSU.


Fareed Kubanda ni zaidi ya Mcz wote ukiwatoa (1) Sugu
(2)Afande Sele
(3)Professor Jay
Sugu ni Mkongwe ila hana kipaji wala uwezo wa Fid Q
 
Japo wote ni wana hip hop lakini wana kariba tofauti sana

Jay Mo ni fundi wa storytelling
Ni aina ya wana hip hop wanao penda kustick kwenye hoja moja katika wimbo na kutengeneza hadithi ya kuvutia
Mashairi yake yapo so direct huitaji tafukuri ya kina kumuelewa Jay More na ana punchline za kawaida sana

Fid Q ni muandishi mzuri sana (lyrics and poetry) anaimba vitu vingi sana kwenye nyimbo moja (inaonekana anasoma sana vitabu na kutafuta line kali)
Ana flow nzuri na zinabadilika badilika
naunga mkono hoja
 
jing'ate hadi pua kama unaweza vyote

Tanzania ni Demu wa mtungo wanamuita cha wote.

Huu moyo huficha mambo mengi ambayo kwa macho huyaoni.

Ukiacha hisia zikuendeshe kwa ujeuri utaishia kufeli

Usilale fofo ruzuku itakwisha

kama unaitaka shibe hakikisha haukombi mboga

Mapenzi ya wadau wa mjini hugeuka samaki na maji

Najiheshimu ili niheshimike

urafiki sio urafiki usipochanganywa na kazi

Kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni bora

Uhuru wa miguu na mikono,akili imefungwa mnyororo

Unamuita wife au mama mamito,unapata habari za wanafki kuna walafi wanamla hadi jicho.

Washkaji wengi ni wanafki kama kamasi ndani ya pua.

Usimuone simba amelo ukazani ni paka

Usiukaze msuri kama upaja wako mdogo.

nalindwa na dua za mama tangu baba simjui

Kama kukupenda ni dhambi basi shetani yu nami

Haya manyunyu ya mvua kwa siafu ni mafuriko.

Money makes a Man lakini love ni hustle

PENYE HAPPY JITUSU,UNAFKI USIURUHUSU,YAJUE YA KUZINGATIA ILI UACHANE NA YASIOKUHUSU.


Fareed Kubanda ni zaidi ya Mcz wote ukiwatoa (1) Sugu
(2)Afande Sele
(3)Professor Jay
Fid ni mnyama sana

Aisee mtoe Sugu hapo hamfikii Fid hata robo labda hapo ungemuweka Chindo ningekusoma vizuri
 
Back
Top Bottom