CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 616
- 1,453
Kuna battle nimeiona sehemu fulani kati ya Wakenya na Watanzania kila upande ukijinadi kua na warembo wazuri kumshinda mwenzake, binafsi mimi mara yangu ya kwanza kufika Kenya nilipata shida sana kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke kwani wanawake wengi wa Kenya hawana tofauti na wanaume kabisa. Ndio mahana nimehona nihilete hapa hii battle wajuzi mtiririke.