Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi yenye wasichana warembo zaidi?

Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi yenye wasichana warembo zaidi?

The feet are ZERO aka fito.

Wasichana wazuri hakuna huko. Africa, ni Tanzania na South Africa only.
South afrika wasichana wanasura nzuri ila baba miguu feet ni mibaya kwelikweli tofauti na tz
 
lwiva,
Kama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?

Namba kubwa ipi hiyo Tanzania inawasanii zaidi ya 200 kwenye main stream hao wengi waliokuja kuoa Kenya wanafika wangapi? Wakizidi kumi mimi natembea kwa mguu mpaka kibera toka Dar es Salaam.
 
Unajua kenya kuna idadi ndogo ya wasichana wazuri, alafu msichana mzuri wa kikenya awapendi kuolewa na wanaume wa Kenya eti kisa hawana swag ndio mahana wanashoboka na wanaume wa Tz
Ungesema kati ya wanaume wenye sura za kike ningesema Kenya😂😂😂😂😂😂😂
 
Wanawake wa kenya kwa urembo ni sifuri kabisa,Hawa wanawake wa Kenya ni shida ya Taifa,

Wanawake wa Tanzania sio haba bwana wana shepu na wamejaliwa

Tuliofanya kazi na hawa wanawake wa kenya huwa hawajiamini kabisa kwenye urembo kazi yao kusifia Tanzania kuna mabibi wazuri

Hivi kuna wanawake Kenya wana shepu kama wa Tanzania,

Wanawake wengi Kenya mmmmh
 
Wanawake wa kenya kwa urembo ni sifuri kabisa,Hawa wanawake wa Kenya ni shida ya Taifa,

Wanawake wa Tanzania sio haba bwana wana shepu na wamejaliwa

Tuliofanya kazi na hawa wanawake wa kenya huwa hawajiamini kabisa kwenye urembo kazi yao kusifia Tanzania kuna mabibi wazuri

Hivi kuna wanawake Kenya wana shepu kama wa Tanzania,

Wanawake wengi Kenya mmmmh
K ula shida shepu watazitoa wapi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi na ngoja uzi uchanganyeeee
 
Threads za ujinga na wanaume wenye mandevu wanachangia. Shithole brains
 
Back
Top Bottom