Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi yenye wasichana warembo zaidi?

Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi yenye wasichana warembo zaidi?

Nimekua kenya, madem wazuri wapo ila wa kuwatafuta.
Arusha kwenye kila mademu 10 madem saba ni wakali.
Hahaaa!!arusha ile ile ninayoijua ndio iwe na madem wakali 7 kati ya 10.
Boko kali sana hili[emoji1787][emoji1787]
 
CARIFONIA,

Kuna battle nimeiona sehemu fulani kati ya wakenya na Tuanze na mkeo nyumbani kwanza, tupia picha yake.
 
Tuanze na mkeo nyumbani kwanza, tupia picha yake
FB_IMG_1584125687299.jpg
 
Muke za kenya si ndo hudunda mume zao!! Halafu si ndo wale husema nikikupea utawezana[emoji23]
Kauli kama hiyo unafikiri nini..?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unataka tukamuulize okonko sio?
 
Arusha kuna totoz wewe.. Sikuhiz wamemix wakapata product moja matata sana asikwambie MTU[emoji475][emoji475]
Hahaaa!!arusha ile ile ninayoijua ndio iwe na madem wakali 7 kati ya 10..
Boko kali sana hili[emoji1787][emoji1787]
 
Mdem wa kenya ukikuta mzur ni mzuri haswa na ukikuta mbaya mbaya haswa ila Tanzania wanawake ni wazuri zaid
 
12191986_907777205942208_5926204396136271061_n.jpg
IMG_20200614_090349.jpg
IMG_20200614_090323.jpg

Wapo tu. Ila usidanganywe eti kuna mwanamke sura mbaya. Mpe hela utaona aking'aa.
12191986_907777205942208_5926204396136271061_n.jpg
IMG_20200614_090349.jpg
IMG_20200614_090323.jpg
IMG_20200614_090306.jpg
IMG_20200614_090246.jpg
IMG_20200614_090232.jpg
IMG_20200614_090216.jpg
 
Kama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?
Siyo Wa asili ya Kenya ni wasomali au chotara wakenya asilia wanatisha yaheee wawesa sema umekutananga na musimu kutoka gatui
 
Hahaaa!!arusha ile ile ninayoijua ndio iwe na madem wakali 7 kati ya 10..
Boko kali sana hili[emoji1787][emoji1787]
We tumbili ongea kiswahili ya Kenya tu chekange kidogo nawesa patiang'a wewe chapaa ya kubuy chapo ukule na chai
 
CARIFONIA,

Usifananishe wadada wa kibongo na vitu vya kinyi siku nyengine usirudie, umeshindwa hata kulinganisha japo kwa super star tu hata wa2 au wa3 wa kibongo na Kenya kabla ya kuleta huu uzi ?. Tukianza bongo wawili tu : Dc Joketi, Lulu
 
Kama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?
Mademu hao Wachache wazur wa huko ndoto zao kuolewa na super star wa bongo Kama ulivyo wacheza mpira wenu wanavyowaza kuchezea ligi ya bongo sio mbongo kuwaza kuchezea Kenya Kwenye pesa mbuzi
 
Back
Top Bottom