unajua kenya kuna idadi ndogo ya wasichana wazuri, alafu msichana mzuri wa kikenya awapendi kuolewa na wanaume wa kenya eti kisa hawana swag ndio mahana wanashoboka na wanaume wa TzKama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?
Wakenya kweli sharp sanaNachowapendea upstairs wako sawa na wanajiamini.
Hahaaa!!arusha ile ile ninayoijua ndio iwe na madem wakali 7 kati ya 10.Nimekua kenya, madem wazuri wapo ila wa kuwatafuta.
Arusha kwenye kila mademu 10 madem saba ni wakali.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unataka tukamuulize okonko sio?Muke za kenya si ndo hudunda mume zao!! Halafu si ndo wale husema nikikupea utawezana[emoji23]
Kauli kama hiyo unafikiri nini..?
Hahaaa!!arusha ile ile ninayoijua ndio iwe na madem wakali 7 kati ya 10..
Boko kali sana hili[emoji1787][emoji1787]
Wasanii wangapi WaTz wana wanawake wa Kenya na wangapi wana WaTz wenzao?Kama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?
Wa hivi sasa ndo wabongo tunakuja tunajibebea.Nyie tunawaachia wakina Omera na Odinga.View attachment 1478027View attachment 1478028View attachment 1478029
Wapo tu. Ila usidanganywe eti kuna mwanamke sura mbaya. Mpe hela utaona aking'aa
Siyo Wa asili ya Kenya ni wasomali au chotara wakenya asilia wanatisha yaheee wawesa sema umekutananga na musimu kutoka gatuiKama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?
We tumbili ongea kiswahili ya Kenya tu chekange kidogo nawesa patiang'a wewe chapaa ya kubuy chapo ukule na chaiHahaaa!!arusha ile ile ninayoijua ndio iwe na madem wakali 7 kati ya 10..
Boko kali sana hili[emoji1787][emoji1787]
Warembo wa kenya
View attachment 1477892
Ukiona hivyo sio mzuri huyoDoh..uzuri upo kwenye mamcho ya anayeangalia..
Mademu hao Wachache wazur wa huko ndoto zao kuolewa na super star wa bongo Kama ulivyo wacheza mpira wenu wanavyowaza kuchezea ligi ya bongo sio mbongo kuwaza kuchezea Kenya Kwenye pesa mbuziKama iko hivo, ni kwanini number kubwa ya wasanii wa Tanzania wanawapenda warembo wa Kenya?