Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wenzio wakisema "Maafrika ni mashenzi utapendezewa? Ubaguzi tunauleta wenyewe halafu tunawasingizia wao.Morocco na Tunis, walipotoka waaay back wakaingia kwenye mifumo ya Kifaransa sasa hivi wanahaha kuwafunza watoto wao English.
.
Ila kuna baadhi ya maarabu Canada ni mash*nzi hayajui kifaransa wala English, I've been in Los Angeles kuna Hispanic wengi ila wanaongea both languages
Kuwa na hekma japo kidogo!