Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Baada ya kufanya deep thinking,,nikabadili wazoWe naye! We si mara ya kwanza umesema English! Nini kimekubadirisha?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kufanya deep thinking,,nikabadili wazoWe naye! We si mara ya kwanza umesema English! Nini kimekubadirisha?!
Ahahahaha! America kuna majimbo hayaruhusu kabisa hizo adhana.Hahaha... acha blaablaa mwanangu.. inatosha kusikia adhana.. "Allahu Akbar Allahu Akbar" kote duniani mara tano kwa KIARABU kila siku... pembe zote East-West, North-South
Nasema nami ni muumini na kujiamini hakuna hiyana hapo!!
Wote (wachina wako na mataifa yote) mnaisikia na walaa hamtaweza au kuthubutu...mwee!!
This is Arabic the connection of humanity....
Welcom baby nikulishe tende!!
Kwa takwimu za nani au wapi? Tanzania sijawahi kukutana na mtanzania anayezungumza kiarabu hata mmoja!Labda sijaelewa Ni uzungumzaji upi unaoongelewa,nijuavyo hata Hapa bongo kiarabu kinaongelewa na watu karibu milioni 30,😁😁
Wewe jamaa unaumwa akili au uelewa au tatizo ni umuhamadi?Nikakuuliza,kwanini ufeel safe,kumbe unasema wako Western,ngoja nikwambie Qatar na Abudhabi hawako Western,Sana Sana Kuna wageni wengi kutoka west,walioenda kutafuta maisha,,wenyeji hawako westernized kuwazidi wananchi wa Syria,Iraq,
Kidogo labda ungesema oman pako safe Sana,
Maana yake.i can't feel safe in Qatar, Oman or Abu Dhabi angalau Dubai kwa sababu ni more western.
Hiyo link niliyokupa inajieleza.Labda sijaelewa Ni uzungumzaji upi unaoongelewa.
Statistically speaking utakuwa sahihi kusema Mandarin wana wazungumzaji wengi kwasababu china ni nchi yenye watu wengi.mkuu get your facts together, Spanish inaongewa na watu wengi kuliko kiarabu so ikitoka kingereza ambayo na yenyewe sio ya kwanza inakuja spanish kutokana na maelezo yako list iko hivi
TOP FIVE
1. Mandalini- Kichina
2.English
3. Hindustani- Kihindi...
Wee mwanangu unaithamini Vimarekani njaa tuou hao!! Atiwamekataa "adhana". Usilishwe tango pori... Gademit!Ahahahaha! America kuna majimbo hayaruhusu kabisa hizo adhana.
.
Kwa hiyo kumbe ndio maana majamaa yalizuia kutafsiri Koran kwenda lugha ingine ili ya-promote lugha yao pamoja na utamaduni wao?...
Niko mwafilombe huku nanjilinji...sijawahi sikia azanaWewe mwanangu unaithamini Vimarekani njaa tuou hao!! Atiwamekataa "adhana"
Usilishwe tango pori... Gademit!...
Hahaha... usemalo kweli ila unamaanisha hakuna wakazi eenh!? Unaishi mifugo?Niko mwafilombe huku nanjilinji...sijawahi sikia azana
Hehehe... Mwanangu ujue kuuawana kupo ktk kila Taifa..na nijambo la kihalifu na uvunjaji sheria! Lakini hao unao watetea na kuona wana maendeleo kwako ni wauwaji wa Mass (huteketeza binadamu na utu wao kwa jumla) KM:- hili janga la Coro.. Bomu la Hiroshima huko japan.Ahahahaha! America kuna majimbo hayaruhusu kabisa hizo adhana.
.
Kwa hiyo kumbe ndio maana majamaa yalizuia kutafsiri Koran kwenda lugha ingine ili ya-promote lugha yao pamoja na utamaduni wao?...
Wakazi wapo ila hakuna adhanaHahaha... usemalo kweli ila unamaanisha hakuna wakazi eenh!? Unaishi mifugo ??
Wachina Wako. 1.3 to 1.5billion na hao wote wanaongea KICHINA AKA Mandarin. Plus nchi za Asia zinazowazungua wanakijua na kuonge pia. Jumlisha nchi zinazoongea French uone kama hata mil 500 wanafika.No kichina kimezidiwa mbali na hizi lugha hata kifaransa kipo juu
Basi tulia hapo hapo tunakuja... tena na sauti nzuri...Wakazi wapo ila hakuna azana
Swali ni wanauwana kwa misingi ipi na ili iweje?Hehehe... Mwanangu ujue kuuawana kupo ktk kila Taifa..na nijambo la kihalifu na uvunjaji sheria !!
Sasa ukiwatoa wao kwenye maendeleo utamuweka nani? Leo hii mzungu, Muhindi na Mchina wakae wasi-invert chochote maarabu yatafanya nini kama sio allah kubar tu?Lakini hao unao watetea na kuona wana maendeleo kwako ni wauwaji wa Mass (huteketeza binadamu na utu wao kwa jumla) KM:- hili janga la Coro.. Bomu la Hiroshima huko japan..
Vita vya WW2 mjomba Hilter nk nk.. Vietnam war.. Iraq invasion.. Libya conspir!! Na Sehem nyingi barani Afr!!
Hivo usichanganye madawa!!
Karibu tule embe kama hutaki tende!!
Hivi kuna mtu anaijua quran nzima ila hajui kiarabu?Basi tulia hapo hapo tunakuja... tena na sauti nzuri...
Be blessed umetuzindua.. shukran
Mbona wapo wengi.. na Tunalozungumzia hapa ni LUGHA !! Kiarabu kina wasilisha.Hivi kuna mtu anaijua quran nzima ila hajui kiarabu?
Naomba hiyo elfu10 ....hapo no qatarWhy not Syria,Iraq,Iran ambazo Zina raia wajristo also?,umetaja nchi vibaraka wa US,,Sasa nakwambia,niwekee picha ya kanisa Qatar,abudhabi nitakupa buku kumi ya bila masharti