Sicario_4k
Senior Member
- Apr 6, 2020
- 176
- 327
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu unasema kwamba kama utaongea kiingereza utapata nini haraka??
assistantance??!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu unasema kwamba kama utaongea kiingereza utapata nini haraka??
assistantance??!!!
No kichina kimezidiwa mbali na hizi lugha hata kifaransa kipo juu
Ni muhimu kujifunza kiarabu kwa kuwa kinanyosha lafudhi yako mtu yeyote anajua kiarabu Yuko vizuri Sana kwenye kiswahili na kwenye kiingereza an anaongea lafudhi tamuLakini bado haujanijibu swali langu.
Ni kwanini ni "muhimu sana" kujifunza kiarabu? Au hayo mataifa kuongea kiarabu basi ndiyo sababu mojawapo?
Habari zenu wakuu
Kati ya hizi lugha tatu
Kiarabu , kingereza na kihispaniola Ni lugha ipi inatumiwa na watu wengi duniani? Kingereza
Ndio (unateseka?)Kazi za ndani.?
Umewai kurejea hotuba au interview za lugha ya kingereza za Gaddafi?Ni
Ni muhimu kujifunza kiarabu kwa kuwa kinanyosha lafudhi yako mtu yeyote anajua kiarabu Yuko vizuri Sana kwenye kiswahili na kwenye kiingereza an anaongea lafudhi tamu
unajitunzaje kiarabu? au kwa kuvaa barakoa na hijab na kanzu?Kujitunza kiarabu Ni muhimu Sana
Hapana cjawahiUmewai kurejea hotuba au interview za Gaddafi?
Sasa mwalimu kama nimekosea si unanikosoa PM?Hapa sijakuelewa ulikuwa una maanisha nini ?
Hili limepita bila ajizi, nitakufundisha.
English is the best
Okay.FUrsa za kiuchumi kwenye nchi hizo
Sijui ulitaka uandike nini, ila hakuna neno hilo katika lugha yetu ya Kiswahili.Sasa mwalimu kama nimekosea si unanikosoa PM?
Kwani ni nini ilitakiwa iwe?
Kwenye kingereza waarabu hawaongei lafudhi tamu kama Wabongo lakini.Ni
Ni muhimu kujifunza kiarabu kwa kuwa kinanyosha lafudhi yako mtu yeyote anajua kiarabu Yuko vizuri Sana kwenye kiswahili na kwenye kiingereza an anaongea lafudhi tamu
Nilivosema English is the best maan yake ni ndio Most spoken languageKwani Wewe umeulizwa ni lugha ipi bora kuliko kati ya hizo lugha??
Kuna sababu "nimepewa" ni umoja.Sijui ulitaka uandike nini, ila hakuna neno hilo katika lugha yetu ya Kiswahili.
Nilisahau kuja PM niwie radhi.
Nilivosema English is the best maan yake ni ndio Most spoken language