Maige Chagu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 237
- 245
😂😂😂 umetisha mkuu.English of course,Kisha Arab then Spanish,halafu sukuma😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 umetisha mkuu.English of course,Kisha Arab then Spanish,halafu sukuma😂😂
[emoji3] Paula Paul wabongo tunajitahidi Sana kuchonga lafudhi swafi ya hii lugha ya malikia angalia west Africans wanavyohangaika.Kwenye kingereza waarabu hawaongei lafudhi tamu kama Wabongo lakini.
Asante sana.
Sisi Waswahili hatuna neno hili, wala hatulitumii. Tamko hili halina wingi kwa lenyewe.Kuna sababu "nimepewa" ni umoja.
Sababu zikiwa mbili au zaidi ni "nimezipewa" hapo "zi" ni wingi. Au naongea kilugha?
Tukitafuta mataifa tajiri 10 hakuna hata moja kwenye top 17 linalozungumza kiarabu!Tafuta mataifa matajiri dunian 10 halafu fuatilia wanaongea lugha gan
West Africans mbali sana. Kuna hao majirani zetu Wakenya na Waganda.[emoji3] Paula Paul wabongo tunajitahidi Sana kuchonga lafudhi swafi ya hii lugha ya malikia angalia west Africans wanavyohangaika.
[emoji3][emoji3][emoji3] asee Ni kweliWest Africans mbali sana. Kuna hao majirani zetu Wakenya na Waganda.
Ya kwanza ni kingereza, ya pili ni kichina. ..china kuna watu bilioni 1.4 na bado kuna wachina Taiwan, Malaysia, Indonesia na kadhalika. Ya tatu ni Spanish. .....America kusini na kasakazini asilimia 80% wanaongea Spanish. Kikarabu watu ni wachache tu. ..kabla mikononi 200 au 300English of course,Kisha Arab then Spanish,halafu sukuma[emoji23][emoji23]
wale wagalatia pale supermarket Kenya ukiwauliza faida ya kujifunza kiarabu watakutajia faida mia.Kwanini ni muhimu "sana" kujifunza kiarabu?
Naomba faida mbili.
Ni kweli kiingereza ni namba moja ila umeshaingiza na Udini kwenye swali dogo tu, huyo Mama anakujaje humuEnglish is the best, Hata waarabu wenyewe sasa hivi wanawafundisha watoto wao Kingereza hivo hakuna ubishi popote pale ukienda na ukaongea kingeŕeza utapata assistantance haraka hata kama hao uliowakuta hawazungumzi ngeli ila katika jamii almost zote hukosi watema YAI
Wacha tumgonge Bibi kizee pia alete takwimu zake cc faiza foxy
Njoo na fact Ndugu kikokotoo kipyaLugha yenye wazungumzaji wengi duniani ni Kihispaniola.
Fact gani unataka, kuna njia mbili mosi, unayepinga ndio unapaswa kuleta fact za kupinga,pili utafute mwenyewe fact hizo,kwa ulimwengu wa leo wa sayansi na teknolojia kusubiri spoon feeding ni uzembe uliopindukia.Njoo na fact Ndugu kikokotoo kipya
Mkuu kati ya Lugha Izo ulizotaja, Lugha iliyo na wazungumzaji wengi ni SPANISH.Kati ya hizi lugha tatu
Kiarabu , kingereza na kihispaniola Ni lugha ipi inatumiwa na watu wengi duniani?
Kinachojadiliwa kingine na wewe unatuletea habari nyingine.. anzisha na wewe uzi wako wadau wajadili hicho ulichokiuliza, au roho imeuma kusikia kiarabu ukitoa kiingereza ni lugha inayozungumzwa sana duniani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna muhuni 1 alioa binti wa miaka 6 akampiga mashine akiwa na miaka 9. Huyo muhuni alikuwa mwarabu[emoji23][emoji23][emoji23] nani anaweza kunitajia jina lake? Ni marehemu na ana wafuasi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani nimesema nini kuhusu Iran, Oman, na Jordan?Umekunywa viroba gani wewe unazani Irani wanaongea Kiaarabu Oman Jordan na Nchi nyingi
Maandishi ya kiarabu ni pekeeee.. elimu ya kiarabu ni afadhali.. Letracture ya kiarabu ni Adabu tosha.. lafudhi za kiarabu untouchable!! Nk nkKunasababu nyingine nimezipewa pia.
Mwalimu wangu naomba unifundishe kiarabu. Asante.