GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
NAKAZIA!Usifananishe kitimoto na vitu vya kijinga
Pua ndefu a.k.a Noah🤣Naamini karibia kila aliyewahi kula kitimoto, alishakula pia na nyama ya kuku wa kienyeji!
Kati ya hivyo vitoweo viwili: kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?
Kitimoto labda uifananishe utamu wake Na nyama ya bataNaamini karibia kila aliyewahi kula kitimoto, alishakula pia na nyama ya kuku wa kienyeji!
Kati ya hivyo vitoweo viwili: kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?
Watu watawaza vitu vingine hiyo vinyweleo kwa mbaliNAKAZIA!
Halafu upate kitimoto yenye vinyweleo kwa mbali😋
Uzi usikose ka picha hata kamoja😂Watu watawaza vitu vingine hiyo vinyweleo kwa mbali
Mdudu mtamu usitake nivunje kibubuUzi usikose ka picha hata kamoja😂View attachment 3039390
Daah.... Hiyo pua na masikio ni tamu balaa.Uzi usikose ka picha hata kamoja😂View attachment 3039390
Dah! Itabidi nije kuchukua kwato nije kupika supu ya makongoro😋Daah.... Hiyo pua na masikio ni tamu balaa.
Kesho nachinja, karibuni sana wadau wa kurekebisha afya