Kati ya kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?

Upate ile fresh imetoka kuchinjwa...alafu ichome au kaanga weka na mazagazaga..hatari sana yule mnyama.

Nb; nilikua sehem sasa kuna jirani fulani ni muslim alialikwa na watoto wake..sasa wale wenyeji walikua wameleta kitimoto choma safi sana..wakakaribishwa mama mtu kumzuia mtoto akashindwa mtoto kaenda kuonja akasema " mama kitimoto tamu sijawahi ona.."
Sasa mtoto kama huyo si kashaingia kundini.
 
Pork, mdudu, mnyama, mbuzi katoliki, kitimoto n.k achana naye ana utamu usioisha hamu. Utakula na siku nyingine hamu utaipata tu.

Utaila ya kuoka, kukaanga, roast, makange 😋 n.k bado mtamu. Kitimoto kidumu 💪na sio chama cha mambuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…