Kati ya kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?

Kati ya kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?

Upate ile fresh imetoka kuchinjwa...alafu ichome au kaanga weka na mazagazaga..hatari sana yule mnyama.

Nb; nilikua sehem sasa kuna jirani fulani ni muslim alialikwa na watoto wake..sasa wale wenyeji walikua wameleta kitimoto choma safi sana..wakakaribishwa mama mtu kumzuia mtoto akashindwa mtoto kaenda kuonja akasema " mama kitimoto tamu sijawahi ona.."
Sasa mtoto kama huyo si kashaingia kundini.
 
Watu watawaza vitu vingine hiyo vinyweleo kwa mbali
Uzi usikose ka picha hata kamoja😂
6782f1b797136c76780a45b05a46de13.png
 
Pork, mdudu, mnyama, mbuzi katoliki, kitimoto n.k achana naye ana utamu usioisha hamu. Utakula na siku nyingine hamu utaipata tu.

Utaila ya kuoka, kukaanga, roast, makange 😋 n.k bado mtamu. Kitimoto kidumu 💪na sio chama cha mambuzi.
 
Back
Top Bottom