Mi hata bure simtaki bora dagaa mara milioni saiv nakutana nae kwenye masherehe nampakua namshika shika namuachaHamna kuku mule dada angu, wengine tunakula kwakua ni bei rahisi tu.
Nyama gani haipikwi supu
Wale wanaochukuliwa nje ya mji wakiwa wafu, wanaletwa jijini na kutiwa vikorombwezo, futa la haja na marangi gani sijui yale, ananona kama mpya.Mshana Jr alishawahi kuuoandisha Uzi wa kuku wa kisasa vibudu, tokea kipindi hicho sina hamu na kuku wa kisasa!
🤣🤣🤣Kitimoto ni habari nyingine hakuna wa kufanana nae yani.....
Hapo umezidisha dharau mkuu🤣🤣🤣Mi hata bure simtaki bora dagaa mara milioni saiv nakutana nae kwenye masherehe nampakua namshika shika namuacha
Ni hao mkuu!Wale wanaochukuliwa nje ya mji wakiwa wafu, wanaletwa jijini na kutiwa vikorombwezo, futa la haja na marangi gani sijui yale, ananona kama mpya.
Binafsi nikitaka kuku napendelea kwenda kwa wanaouza kuku hai kabisa, wachinje wanipe kuku wangu. Ila sio hawa wa kwenye vibanda vya chipsi, siwaamini hata.
Ukiviona hivyo vikuku vikiwa vizima, unawaza sasa hapa nyama iko wapi 😂😂Mi hata bure simtaki bora dagaa mara milioni saiv nakutana nae kwenye masherehe nampakua namshika shika namuacha
🥺Acha kufananisha kitimoto na visivyoeleweka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio dharau ila huwa siondoki sehemu km hizo nikiwaachia faida ya waziwazi namna hiyo, hata kwenye vijiwe vya chakula wanaopika ovyo huwa sirudishi jikoni ili wakiuze mara 2 no thank you, nakitafuna tafuna au nanawia natupia tissue hawezi kukiuza tena tayari ni takataka, na hiyo ndio kanuni yanguHapo umezidisha dharau mkuu🤣🤣🤣
Ukiwa unakula hivyo mara kwa mara, hutahitaji kuvaa Sweta hata ukiwa penye baridi sana!
🥺🥺🥺Sio dharau ila huwa siondoki sehemu km hizo nikiwaachia faida ya waziwazi namna hiyo, hata kwenye vijiwe vya chakula wanaopika ovyo huwa sirudishi jikoni ili wakiuze mara 2 no thank you, nakitafuna tafuna au nanawia natupia tissue hawezi kukiuza tena tayari ni takataka, na hiyo ndio kanuni yangu
umeongea kwa hisia na uzoefu 😁😁😁NAKAZIA!
Halafu upate kitimoto yenye vinyweleo kwa mbali😋
hii picha imekaa kama selfie ivi au mdudu alichukua selfie moja na ndugu zake 😂😂😂Uzi usikose ka picha hata kamoja😂View attachment 3039390
🤣🤣🤣Isifananishwe noa, pork, kiti moto, mbuzi katoliki, mdudu na vitu vya kijinga... Tafadhali ogopa sana kitu chenye majina mengi ni hatariiii
Kwa ambao imani inawakabaKivipi mkuu?
Lakini uzi umewalenga wale tu wanaoitumia!Kwa ambao imani inawakaba
Hapana waliwaambia kua ni kitimoto! Sasa katoto kakangangania kwenda kula..hawa watoto wa kama darasa la pili hivi. Ilikua kama kasherehe fulani kulikuwepo na chakula kingineWenyeji wake walikuwa na nia gani kuwakaribisha ilhali wanajua si walaji wa hiyo mboga? Walitaka kuwapima imani?
Nimekupata mkuu🙏Hapana waliwaambia kua ni kitimoto! Sasa katoto kakangangania kwenda kula..hawa watoto wa kama darasa la pili hivi. Ilikua kama kasherehe fulani kulikuwepo na chakula kingine
Thridi iishie hapa,,naenda kuagiza kilo na ndizi mbili,,Naisubiria huku nashushia na Farasi mwekundu mkubwa[HansChoice kubwa] na maji bariidii ya brand Dew DropUsifananishe kitimoto na vitu vya kijinga