kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Wewe Pata mbogamgoga bamia hivi na maji kwa wingi utunze afyaMbona nimehisi njaa ghafla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Pata mbogamgoga bamia hivi na maji kwa wingi utunze afyaMbona nimehisi njaa ghafla?
Labda kilo 1 au 1.8 au 2 kuyegemea na mfugaji.Hivi kuku mzima ana uzito gani?
Ndio ubaguzi wenyeweLakini uzi umewalenga wale tu wanaoitumia!
Sasa tufanyeje mkuu?Ndio ubaguzi wenyewe
Kwa kuwa maisha hayajawahi kuwa fair basi tuendelee na mjadalaSasa tufanyeje mkuu?
Hilo dubwana mim kuliangalia tu napata kinyaa. Nahisi kutapika yaniNaamini karibia kila aliyewahi kula kitimoto, alishakula pia na nyama ya kuku wa kienyeji!
Kati ya hivyo vitoweo viwili: kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?
Ndugu yangu usisahau kutuma location. Hii kitu asikwambie ntuDah! Itabidi nije kuchukua kwato nije kupika supu ya makongoro😋
Usijali ndugu yanguNdugu yangu usisahau kutuma location. Hii kitu asikwambie ntu
Ulifaidi😋Halafu nimekuja kugundua muda huu uzi unaanzishwa na mkawa mnachat mimi ndio nilikua nakula kuku choma wa kienyeji na ugali wa dona. Kwa bahati mbaya hata picha sikupiga
Nilifaidi sana.Usijali ndugu yangu
Ulifaidi😋
Uhuru wa kujieleza uwekewe mipaka yani huu uzi ni pumba ya mwakaUsifananishe kitimoto na vitu vya kijinga
Na isiweko ya somo la diniHapa naona wanahtajika wenye D mbili
Hii nyama naipenda sana hasa maeneo ya skio na pua ni tam sana catelage flani ivi lainiPork, mdudu, mnyama, mbuzi katoliki, kitimoto n.k achana naye ana utamu usioisha hamu. Utakula na siku nyingine hamu utaipata tu.
Utaila ya kuoka, kukaanga, roast, makange 😋 n.k bado mtamu. Kitimoto kidumu 💪na sio chama cha mambuzi.
Aah pua tena? Mimi sili pua, masikio wala ulimi. Siwezi onja labda nichanganyiwe bila kujua. Hongera kwa kula pua ya mdudu ila dah!!!Hii nyama naipenda sana hasa maeneo ya skio na pua ni tam sana catelage flani ivi laini
Ukionjaa pua huwezi acha iyo flavour, texture na luxury feelings ni dunianiAah pua tena? Mimi sili pua, masikio wala ulimi. Siwezi onja labda nichanganyiwe bila kujua. Hongera kwa kula pua ya mdudu ila dah!!!