mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Nipo Dar mkuu, karibu sanaUpo Njombe? Nafikiri huko ndiyo makao makuu ya kitimoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Dar mkuu, karibu sanaUpo Njombe? Nafikiri huko ndiyo makao makuu ya kitimoto!
Mpaka sasa nimeshapata njaa!Huu uzi unatia njaa🥹 ila njaa ya mdudu
Mbichi/machinjio kwa nilipo ipo mbali, halafu vijiwe vingi mjini bei haitofautiani sana na iliyopikwaSuluhisho ni kuchukua mbichi na kwenda kujitengenezea mwenyewe!
Haya sasa!
Haya sasa!
🙏🙏🙏Nipo Dar mkuu, karibu sana
Kivipi mkuu?Acha ubaguzi
Nyie watu acheni uhamasishaji basi , wikiend bado[emoji39]Ili umfaidi weka ndimu nyingi,chumvi na kitunguu swaumu kidogo then muoke!!utamfaidi
Lakini ukikutana na hawa wamtaani mtu anaosha anatia kwenye mafuta yaani huwezi jua hata unakula kitu gani!!
Unamaanisha nini mkuu?Astaghafulilah
Halafu kwanini kitimoto ukila maeneo ya kishua hainogi? Kitimoto uipate pale kwa Shirima Mianzini Arusha, usafi haueleweki nzi kibao mnafanya kuwafukuza halafu kuna kama ka-mtaro ka maji kanapita Shirima anamwagia maji machafu hapo. Yaani inanoga balaa.NAKAZIA!
Halafu upate kitimoto yenye vinyweleo kwa mbali😋
Hamna kuku mule dada angu, wengine tunakula kwakua ni bei rahisi tu.Nje ya mada kuku wa kisasa kanishinda jamani hana ladha hata kidogo km unakula sponji
Sitaki ukorofi Kaka ,Serengeti ananitosha sana hapa nilipoUnamaanisha nini mkuu?
Hiyo ni ngumu "kumesa"Halafu kwanini kitimoto ukila maeneo ya kishua hainogi? Kitimoto uipate pale kwa Shirima Mianzini Arusha, usafi haueleweki nzi kibao mnafanya kuwafukuza halafu kuna kama ka-mtaro ka maji kanapita Shirima anamwagia maji machafu hapo. Yaani inanoga balaa.
Du!Sitaki ukorofi Kaka ,Serengeti ananitosha sana hapa nilipo
Mshana Jr alishawahi kuuoandisha Uzi wa kuku wa kisasa vibudu, tokea kipindi hicho sina hamu na kuku wa kisasa!Hamna kuku mule dada angu, wengine tunakula kwakua ni bei rahisi tu.
Nyama gani haipikwi supu
Nimechekaje😃Somewhere in Kigogo Sambusa....
Katika utulivu wa hali ya juu najiuliza haya maisha yangekuwaje bila kitimoto rost, ndizi mbili na kachumbari pembeni? Kungekua na mbadala wake?.... nikiwa ndani ya tafakuri nzito, namwona Dada nadhifu na mrembo akisogelea mezani kwangu kashikilia sinia lenye kitimoto safi imeiva kiwango cha juu.. ni ufundi wa Shirima. Anafika na kuninawisha mikono kisha kutenga vitu na kuanza kuondoka kwa madaha na sinia. Wakati akiondoka namsihi aniletee Mirinda Nyeusi ya baridi.
Basi kazi ikaanza taratibu, yaani one-touch, finyango baada ya finyango. Ile ndo mwendo unaanza kushika kasi, mara ghafla simu ikaanza kuita..... nikajiuliza kwa hasira ni nani huyu anayeweza kunipigia nikiwa kwenye starehe kama hii??..😬😡😡..
Sasa wakati naitoa simu mfukoni kwa bahati mbaya ikaniponyoka.... kwenye harakati za kuiwahi isianguke nikajikuta nimesukuma ile meza ya plastic.... KITIMOTO yote na ile soda ikamwagika.. Aaarghh!!😬😬.. kuja kukaa sawa tayari yule mdada kashafuta meza na kusafisha pale chini huku akidai chake......
📌🔨Kitimoto ni namba nyingine braza, halafu uzuri wa ile nyama yenyewe tu ni chakula hihitaji ugali au ndizi hata ukiamua kuichapa yenyewe inanoga tu.
Uzuri mwingine wa yule mnyama hamna kinachotupwa, mpaka ngozi na kwato vinaliwa pamoja hata bila kutenganisha sio kama wengine mpaka wachunwe sijui ngozi ikaushwe nk nk.