Kati ya kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?

Kwa kweli watoto wadogo ni wengi

Mleta mada hajamaanisha nyama za kula, au hamjui maan ya kuku wa kienyeji na kitumoto

kuku wa kienyeji ni watamu ingawa hawana mvuto kivile. Nilikula mmoja ana nywele (vuzi) nyingi huko kijijini. Sio kwa utelezi ule
Ila tuache masikhara kuku wa kienyeji akinyoa inakuwa na vipele kama hivi 👇


Kitimoto sili na sijawahi kula. Sema wale wa kanzu wanawapenda sana 😢
 
Utakapojikuta wewe ndo upo nje ya mada kwa mawazo yako potofu sijui utaambia nini watu
 
Kwa kweli

Una mwaka wa ngapi hapa Tanzania?
 
Overall Kitimoto ni nyama tamu zaidi.

Ukizungumzia nyama ya kuchoma, kitimoto kampita kuku wa kienyeji.

Nyama ya mchuzi, Kuku wa kienyeji amempita mbali kitimoto.

Ukirost, kitimoto ni nzuri kuliko kuku.

Ukikaanga kitimoto ni mzuri kuliko kuku wa kienyeji, Kuku wa kienyeji kwenye kukaangwa anapitwa mpaka na Bloiler.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…