Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

Vibanda vikichomwa moto wapi? Utaratibu upi ulifuatwa ktk matukio yote mawaili hasa ktk kutoa taarifa za matukio? Tumia basi akili ya kichwa kabla ya kuuliza swali kuepusha wengine kuujua uwezo wako wa kupambanua mambo na kufikiri!
 
Vibanda vya wamachinga vilikuwepo kwa mujibu wa sheria ipi????
Kuna mazuzu wengi sana Tanzania wakiongozwa na Jobo.
 
Asante_Mhe.Rais_kwa_kuona_hii_dhambi_leo._Sisi_wengine_tuliona_wakati_uleule_ilipotendwa_na_tu...jpg
 
Kwahiyo ndio vichomwe ?
Havikuchomwa??? Kuna kuwekewa utaratibu tu. Jamii yoyote ya ustaarabu huishi kwa ustaarabu kilichofanyika kwa wamachinga wa tz ni ukataka wafuate ustaarbu.... ndiyo utu huo. Hakuna kibanda kimechomwa
Waliambiwa wapangwe wamepangwa
Sioni shida mana hawakuonewa .kuwaruhusu wafanye biashara popote kama ilivyokuwa haikuwa sawa.
Kupinga hilo ni sawa na kukubali watu waliokuwa na vyeti feki waendelee kula mishahara ati KISA hawana kazi nyingine za kufanya !!!!! Japo walistahili kulipwa michango yao maana ni jasho lao
 
Kuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.

Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
 
Kuvunja nyumba za watu Kimara, Mbezi Hadi Kiluvya bila kuwapa fidia na kujua watalala wapi. Wengine tulikua na vitoto vichanga vya mwezi mmoja (mapacha)
Uchungu ule sitaupata tena
 
Havikuchomwa??? Kuna kuwekewa utaratibu tu. Jamii yoyote ya ustaarabu huishi kwa ustaarabu kilichofanyika kwa wamachinga wa tz ni ukataka wafuate ustaarbu.... ndiyo utu huo. Hakuna kibanda kimechomwa
Waliambiwa wapangwe wamepangwa
Sioni shida mana hawakuonewa .kuwaruhusu wafanye biashara popote kama ilivyokuwa haikuwa sawa.
Kupinga hilo ni sawa na kukubali watu waliokuwa na vyeti feki waendelee kula mishahara ati KISA hawana kazi nyingine za kufanya !!!!! Japo walistahili kulipwa michango yao maana ni jasho lao
Tulipendekeza badala ya kuchomwa virejeshwe vilikotoka , hii ni kwa sababu hakukuwa na ushahidi wowote wa uongo au wa ukweli kwamba vilikuwa na ugonjwa , sasa mbona jiwe aligoma kuvirejesha ?
 
Kuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.

Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
Watanzania wengi ni wajinga sana.
 
Ni bora aliyechoma vifaranga kuliko walio ichoma nchi........!!!

Gas + Bandari

Kwa hakika nchi imechomwa!!
 
Back
Top Bottom