Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

Kuvunja nyumba za watu Kimara, Mbezi Hadi Kiluvya bila kuwapa fidia na kujua watalala wapi. Wengine tulikua na vitoto vichanga vya mwezi mmoja (mapacha)
Uchungu ule sitaupata tena
Pole sana mkuu
 
Vibanda vina roho na vinahisi maumivu kama Vifaranga na binadamu??
Mkuu mbona unaua Nzi, Mbu, Mende. VP hivi sio viumbe?
Ng'ombe, Mbuzi, hadi kitimoto anaepigwa lungu la kichwa vp hawasikii maumivu?
Wanafki ktk ubora wenu! Hao kuku mbona mnawachinja majumbani kwanu tena huku mkichekelea?
Wanafki ninyi wauwaji wa damu zisizo na hatia:
 
Kati ya kuchoma vifaranga toka kenya na kuchoma vibanda vya machinga hapa ipi ni dhambi kubwa?
Zote Zambi maana kubomoa kibanda cha machinga ni Dhambi kubwa maana uwezijuwa anategemewa na wangapi nyuma yake pia na vifaranga ni Dhambi kubwa maana wangekuwa Tungepata Nyama nzuri
 
kuna watu mpaka leo hawaamin kama yule Mungu wao alishakufa.
 
Pambanua na Jitafakari, uhalali wa bidhaa toka BONGO kuzuiwa kuingia NYAYO wakati bidhaa toka NYAYO kuingizwa kiholela BONGO.

Uhalali wa MACHINGA kuweka biashara popote (barabarani na hata mbele ya mfanyabiashara mwingine) bila kujali madhila yanayowapata waathirika wa upuuzi huo.

Dhambi ni suala la Kirohi.

Sheria na Taratibu ni suala la Kijamii.

Yote ni muhimu kuzingatiwa kwa mahusiano ya mtu na mtu (nchi kwa nchi).
 
Wakati mwingine ni bora kukaa kimya, kulikua ukaongea au ukaandika kama hivi, ikadhihirika ujinga wako mbele za watu.
 
Kuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.

Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
Zile nyumba za watu alizobomoa Kimara unajua madhara yake.
 
Tanzania kuna watu hata kufikiri kidogo tu hawataki na hapa ndio JF unategemea akili kubwa lakini ukisoma baadhi ya comments unajuwa tunashida kubwa sana katika elimu yetu. kutofautiana sio issue ila hata mtu kujenga hoja tu shida. Kwani alishawahi kuona Simba akizuiwa kuwinda sababu kumuonea huruma nyati au Zebra ni sababu hiyo nature yao lakini utashikwa ukionekana unauwa tembo au Twiga sababu sio nature yetu wao kwa wao kawaida tu. Kuchinja mnyama kwa njia sahihi ni nature yetu na Mungu ndio katubariki katika hili lakini huwezi kuchukuwa rungu ukampiga kuku utaonekana hauko sawa na utakamatwa. kuchinja na kumchoma mnyama ni vitu viwili tofauti.
asante sana,asipokuelewa basi hafai hata kuwa binadamu.
 
Mkuu mbona unaua Nzi, Mbu, Mende. VP hivi sio viumbe?
Ng'ombe, Mbuzi, hadi kitimoto anaepigwa lungu la kichwa vp hawasikii maumivu?
Wanafki ktk ubora wenu! Hao kuku mbona mnawachinja majumbani kwanu tena huku mkichekelea?
Wanafki ninyi wauwaji wa damu zisizo na hatia:


Mauaji kwa kutumia moto ndio hayatakiwi na sio vinginevyo.
 
Kuvunja nyumba za watu Kimara, Mbezi Hadi Kiluvya bila kuwapa fidia na kujua watalala wapi. Wengine tulikua na vitoto vichanga vya mwezi mmoja (mapacha)
Uchungu ule sitaupata tena

kifupi ulipata uchungu mara mbili,wakati wa kujifungua na wakati wa kukimbia na vichanga[emoji24][emoji24][emoji24].

lakini nextime utakuwa makini sana,au nasema uongo ndugu yangu!!!!
 
Wamachinga wanaweza kukimbia na kujieteta...

Vifaranga ni dhambi sana...
 
Back
Top Bottom