Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

Kati ya kuchoma vifaranga toka Kenya na kuchoma vibanda vya machinga ipi dhambi kubwa?

Kuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.

Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
Machinga bado wapo na wanabiashara zao
Fuateni utaratibu
 
Kuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.

Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
Yaani huyu Jumong naye ni mnafiki sana! Yaani waruhusu vifaranga vyenye magonjwa viingie nchini kisa ujirani mwema! Very sad and stupid!
 
Tulipendekeza badala ya kuchomwa virejeshwe vilikotoka , hii ni kwa sababu hakukuwa na ushahidi wowote wa uongo au wa ukweli kwamba vilikuwa na ugonjwa , sasa mbona jiwe aligoma kuvirejesha ?
Sheria inasemaje?

KWA hyo hata hizi dawa/mafuta fake TOKA nje yarudishwe yalipotoka?

Muda mwingine natatizika sana na uwezo wa akili yenu
 
Kuvunja nyumba za watu Kimara, Mbezi Hadi Kiluvya bila kuwapa fidia na kujua watalala wapi. Wengine tulikua na vitoto vichanga vya mwezi mmoja (mapacha)
Uchungu ule sitaupata tena
Nenda Tanroad,kama unahaki na umevunjiwa KWA makusudi haki YAKO ipo
 
Sheria inasemaje?

KWA hyo hata hizi dawa/mafuta fake TOKA nje yarudishwe yalipotoka?

Muda mwingine natatizika sana na uwezo wa akili yenu
Mwenye tatizo la akili ni wewe ambaye huelewa vifaranga walichomwa kwa sababu gani. Inakumbuka sababu iliyotolewa na mamlaka, kwa nini vifaranga walichomwa?
 
Ndiyo wanagundua leo kuwa ni DHAMBI,,
Shithole kweli!!!
 
Umesahau kuweka namba ya simu MATAGA !

By the way ipi dhambi kubwa kuaandaa uchaguzi na kusema umeshinda kwa kishindo huku tume yote ya huo uchaguzi unaiteua wewe?
 
Bidha zote zinazo athiri afya au feki huteketezwa duniani kote hii ni kwa sababu faida yake huwa kwa wachache na athari kwa wengi zikiachwa. Kwa uelewa wangu sina huruma na vifaranga wenye magonjwa ambukizi hata wangekuwa milioni mia wangechomwa tu.

Wamachinga wengi ni zao la ufukara wetu, ni wanetu, wajomba, mashangazi, na kila aina ya udugu wameathirika na uvunjwaji vibanda vyao bila kuwawekea maeneo tengefu sahihi kwa vijibiashara vyao. Athari tunaziona mtaani wimbi la vibaka wanao tupora hasa wakinamama na wadada mikoba simu nk.
Unasafisha mji kwa ajili ya nani ? Ili ukiwa msafi iweje? Ni kweli usafi ni mzuri lakini una maana gani ikiwa unamji msafi ulijaa uporaji na mauji ya kijinga?
 
Rais wa Tanzania haongozi masikini tu anaongoza pia matajiri tunaohitaji usafiri wa ndege.

Tupo sisi matajiri tunahitaji ndege kuwahi sehemu mbalimbali.
Daladala kwetu ni ndege
 
Bi mkubwa kila anapoongea na kuchomekea huwa anatoa boko, anakinukisha mbaya yaani. Tungependa asiwe anachomekea maneno ya kufurahisha hadhira huwa mwisho yana haribu speech nzima.

Mbowe alikimbia kenya wenzie wamehukumiwa

Wasichana kama hao wacheza mpira kwa muonekano na vifua vyao huwezi kuwapeleka kwa baba yako unataka kuwaoa. Twiga stars

Vibrant democracy and rule of law, geothermal electricity, 4 % percent of our gdp goes to environment sustainable projects.

Wamachinga wapangwe wasibugudhiwe huku vibanda vinavunjwa

Tulichoma vifaranga dhambi kubwa, wamachinga je,Mbowe je sio dhambi

Mimi na hayati ni kitu kimoja, Viatu vya hayati ni vikubwa, ngekewa ya uongozi ikiakuangukia itimize.

Wasukuma wanafuga mifugo mingi inaharibu vyanzo vya maji

Kuna umuhimu wa kumpa mawazo mazuri anapoongea na public si lazima mengine ayatamke
 
una uwezo mdogo sana wa akili.
Tanzania kuna watu hata kufikiri kidogo tu hawataki na hapa ndio JF unategemea akili kubwa lakini ukisoma baadhi ya comments unajuwa tunashida kubwa sana katika elimu yetu. kutofautiana sio issue ila hata mtu kujenga hoja tu shida. Kwani alishawahi kuona Simba akizuiwa kuwinda sababu kumuonea huruma nyati au Zebra ni sababu hiyo nature yao lakini utashikwa ukionekana unauwa tembo au Twiga sababu sio nature yetu wao kwa wao kawaida tu. Kuchinja mnyama kwa njia sahihi ni nature yetu na Mungu ndio katubariki katika hili lakini huwezi kuchukuwa rungu ukampiga kuku utaonekana hauko sawa na utakamatwa. kuchinja na kumchoma mnyama ni vitu viwili tofauti.
 
Nenda Tanroad,kama unahaki na umevunjiwa KWA makusudi haki YAKO ipo
Nilikwenda TANROSDS Kaka brother. Nikaambiwa na meneja wa Ubungo kipindi kile point blank kwamba wanavunja.
Nikaenda mahakamani, you won't believe it, wakati lawyer wangu msomi ana present kesi yangu, wanasheria wa serikali walikua wanamcheka kwa dharau.
 
Back
Top Bottom