Machinga bado wapo na wanabiashara zaoKuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.
Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
Mama ulikuwa wapi haya yakitokea!?
Yaani huyu Jumong naye ni mnafiki sana! Yaani waruhusu vifaranga vyenye magonjwa viingie nchini kisa ujirani mwema! Very sad and stupid!Kuchoma na kuteketeza wanyama mpaka majivu ndo utaratibu kote duniani, hakuna wa kuzika mnyama mwenye magonjwa. Na hata hivyo vifaragha ni ajira ya mtu mmoja tu ama watatu iliathirika.
Je ajira za wamachinga wangapi zimepotea na je wanajua wanaishi je na familia zao huko waliko?
Vibanda siyo viumbe hai!
Na Sasa hivi kila kona vinachomwaKati ya kuchoma vifaranga toka kenya na kuchoma vibanda vya machinga hapa ipi ni dhambi kubwa??
Sheria inasemaje?Tulipendekeza badala ya kuchomwa virejeshwe vilikotoka , hii ni kwa sababu hakukuwa na ushahidi wowote wa uongo au wa ukweli kwamba vilikuwa na ugonjwa , sasa mbona jiwe aligoma kuvirejesha ?
Nenda Tanroad,kama unahaki na umevunjiwa KWA makusudi haki YAKO ipoKuvunja nyumba za watu Kimara, Mbezi Hadi Kiluvya bila kuwapa fidia na kujua watalala wapi. Wengine tulikua na vitoto vichanga vya mwezi mmoja (mapacha)
Uchungu ule sitaupata tena
Vifaranga vya Kenya vina thamani zaidi kuliko wa machinga ππππKati ya kuchoma vifaranga toka kenya na kuchoma vibanda vya machinga hapa ipi ni dhambi kubwa??
Magonjwa uliwawekea wewe? Vifaranga hawakuwa na magonjwa. Habari ya magonjwa umeokota wapi?Yaani huyu Jumong naye ni mnafiki sana! Yaani waruhusu vifaranga vyenye magonjwa viingie nchini kisa ujirani mwema! Very sad and stupid!
Mwenye tatizo la akili ni wewe ambaye huelewa vifaranga walichomwa kwa sababu gani. Inakumbuka sababu iliyotolewa na mamlaka, kwa nini vifaranga walichomwa?Sheria inasemaje?
KWA hyo hata hizi dawa/mafuta fake TOKA nje yarudishwe yalipotoka?
Muda mwingine natatizika sana na uwezo wa akili yenu
Joto kali la Dar ndiyo linachoma vibanda πππAliyechoma vifaranga vya Kenya anajulikana , ni nani anachoma vibanda vya wamachinga ?
Tanzania kuna watu hata kufikiri kidogo tu hawataki na hapa ndio JF unategemea akili kubwa lakini ukisoma baadhi ya comments unajuwa tunashida kubwa sana katika elimu yetu. kutofautiana sio issue ila hata mtu kujenga hoja tu shida. Kwani alishawahi kuona Simba akizuiwa kuwinda sababu kumuonea huruma nyati au Zebra ni sababu hiyo nature yao lakini utashikwa ukionekana unauwa tembo au Twiga sababu sio nature yetu wao kwa wao kawaida tu. Kuchinja mnyama kwa njia sahihi ni nature yetu na Mungu ndio katubariki katika hili lakini huwezi kuchukuwa rungu ukampiga kuku utaonekana hauko sawa na utakamatwa. kuchinja na kumchoma mnyama ni vitu viwili tofauti.una uwezo mdogo sana wa akili.
Hapo kwenye kuvutana Kuna kitu . Kwahiyo mama angevutika au Mimi ndo sijaelewa
Nilikwenda TANROSDS Kaka brother. Nikaambiwa na meneja wa Ubungo kipindi kile point blank kwamba wanavunja.Nenda Tanroad,kama unahaki na umevunjiwa KWA makusudi haki YAKO ipo
Unavyokula kuku kama mboga hukufikiria kama navyo vina roho?Kwahiyo ndio vichomwe ?