Kati ya Land Cruiser hizi za polisi na hizi Altezza zipi zinazokimbia sana?

Kati ya Land Cruiser hizi za polisi na hizi Altezza zipi zinazokimbia sana?

Jindal Singh

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
1,857
Reaction score
1,538
Ivi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa Altezza
altezza.jpeg


ni gari gani hapa inayoweza kumshinda mwenzie kwa speed, yaani ninapozungunzia speed namaanisha ile ya distance covered by time. Maana yake hizi Land cruiser naona zinasifiwa sana utasikia ''mkonga huo baba usifuate" nilipofanya utafiti nikagundua huwa zinatunika katika wizara mbali mbali mfano maliasili ndio gari zao sana na ukija kwa polisi dah! si mchezo yaani zipo tele tena wanazitembeza si mchezo, kuna siku nilijaribu kuifuata Hardtop moja hivi ilikuwa imebeba mafuta ya minara, aisee sikuiona kabisa.
Cruiser-Polisi.jpg
 
land cruiser mkonga ni gari imara lkn si chochote linapokuja suala la mbio!
kwel kk sema watu hawazijuagi tu hiz gar, off road labda ndo utapenda ila lami haisimami

na wakumbuke sio kila hardtop ama pick up ndan kuna 1hz some tymz unaeza kuta kinu ni 1VD FTV au 3UR FE daaaadeq huu ni moto mwingne kabsa we na teza yako utapindisha c.head hahaaaa 😀
 
kwel kk sema watu hawazijuagi tu hiz gar, off road labda ndo utapenda ila lami haisimami

na wakumbuke sio kila hardtop ama pick up ndan kuna 1hz some tymz unaeza kuta kinu ni 1VD FTV au 3UR FE daaaadeq huu ni moto mwingne kabsa we na teza yako utapindisha c.head hahaaaa 😀
1Hz yenyewe haifui dafu ata kidogo.... HP 129 unamfukuza nani? Altezza 3sge ina 200Hp. Yaani ata njia haoni alteza imepita wapi....
 
mfano wa mountain bike na road bike

mountain bike haikimbii sana kama road bike au kwa jina jingne kibongo tunaita sport bike

mountain bike ipo designed vizur ku handle road mbovu yan kwenye mabonde haiteseki inapita kirahc tukija kwa road bike haipo hivo kwenye road mbovu haifai na jinsi tairi zilivyo ndo kabisa haiwezi ila tukiiweka lami huwez mkuta mtu ana road bike afu uko na mountain bike labda jamaa awe hajala.

hizo cruiser kwa mbio bado labda hiyo nguvu yake ibaki hivo hivo then turudishe miaka kama 35+ ila si kwa sasa kwan a 165hp diesel engine in a car with more than two tones ni kidogo kweli hizi gari wanazisifia ila mbio bado sana offroad ndo mahala pake ila sio mkeka mzuri ukiwa na gari ndogo ndogo hata hawakuoni

prado 4th with 1GD ftv inakimbia kuliko huo m cruza ila haiwez ona hata ka brevis kalipo pita.

inshort hayo magari makubwa yashindane yenyew kwa yenyewe ila sio hizi gari saiz ya kati kina harrier rav4 mark x verosa brevis nk huo m kruza lami hauez kuta gari tajwa hapo juu hata kwa dawa...
 
Mi niko kwa gx 100 mark 11 speed 120 nikachongwa na ist old model ya cc 1290
 
Back
Top Bottom