Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You make sense. HahahaKwa barabara za bongo magari yote ni sawa kwa speed inategemea na ujasiri wa dreva
Yap sijaona road ya kutembea 180 bila kikwazo chochote eidha mlima kona ubovu au udogo wa barabara au torchYou make sense. Hahaha
Hata ukiwa na toyota wish tu hiyo landcruiser haikupati...Ivi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa AltezzaView attachment 673290 ni gari gani hapa inayoweza kumshinda mwenzie kwa speed, yaani ninapozungunzia speed namaanisha ile ya distance covered by time. Maana yake hizi Land cruiser naona zinasifiwa sana utasikia ''mkonga huo baba usifuate" nilipofanya utafiti nikagundua huwa zinatunika katika wizara mbali mbali mfano maliasili ndio gari zao sana na ukija kwa polisi dah! si mchezo yaani zipo tele tena wanazitembeza si mchezo, kuna siku nilijaribu kuifuata Hardtop moja hivi ilikuwa imebeba mafuta ya minara, aisee sikuiona kabisa.View attachment 673287
Hayo ya kwako.Mi nahisi unataka kufanya tukio kwa kutumia gari la Alteza unataka kujua namna gani utawakimbia polisi. Anyways, mi naonaga Alteza inapiga makelele tu ila iko palepale utadakwa fasta
Yaani ubongo wako umekaa ki wizi wizi tu!Mi nahisi unataka kufanya tukio kwa kutumia gari la Alteza unataka kujua namna gani utawakimbia polisi. Anyways, mi naonaga Alteza inapiga makelele tu ila iko palepale utadakwa fasta
Haha eti altezza utaikuta kwenye mashamba ya miwa😀😀😀Yote yanakimbia inategea matumizi na barabara ikoje
-kwenye lami land crusar itaachwa
Kwa barabara ya vumbi mfano kilombero mpk Ifakara Arteza ikifata Land cruser ...Arteza utaikuta kwenye mashamba ya miwa
Ikini pia zimetengenezwa kwa matumizi tofauti, na uimara tofaut
Mfn. Land C inaweza kufika 300,000km nabado ukawa ujapiga injini chini wakat Arteza ikifika 200,000km ndo imefika 90% ya maisha yake
Majizi hayapotei. Haya baba kaibe tu ipo siku yako na ki altezza chakoIvi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa AltezzaView attachment 673290 ni gari gani hapa inayoweza kumshinda mwenzie kwa speed, yaani ninapozungunzia speed namaanisha ile ya distance covered by time. Maana yake hizi Land cruiser naona zinasifiwa sana utasikia ''mkonga huo baba usifuate" nilipofanya utafiti nikagundua huwa zinatunika katika wizara mbali mbali mfano maliasili ndio gari zao sana na ukija kwa polisi dah! si mchezo yaani zipo tele tena wanazitembeza si mchezo, kuna siku nilijaribu kuifuata Hardtop moja hivi ilikuwa imebeba mafuta ya minara, aisee sikuiona kabisa.View attachment 673287
Ivi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa AltezzaView attachment 673290 ni gari gani hapa inayoweza kumshinda mwenzie kwa speed, yaani ninapozungunzia speed namaanisha ile ya distance covered by time. Maana yake hizi Land cruiser naona zinasifiwa sana utasikia ''mkonga huo baba usifuate" nilipofanya utafiti nikagundua huwa zinatunika katika wizara mbali mbali mfano maliasili ndio gari zao sana na ukija kwa polisi dah! si mchezo yaani zipo tele tena wanazitembeza si mchezo, kuna siku nilijaribu kuifuata Hardtop moja hivi ilikuwa imebeba mafuta ya minara, aisee sikuiona kabisa.View attachment 673287
Ivi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa AltezzaView attachment 673290 ni gari gani hapa inayoweza kumshinda mwenzie kwa speed, yaani ninapozungunzia speed namaanisha ile ya distance covered by time. Maana yake hizi Land cruiser naona zinasifiwa sana utasikia ''mkonga huo baba usifuate" nilipofanya utafiti nikagundua huwa zinatunika katika wizara mbali mbali mfano maliasili ndio gari zao sana na ukija kwa polisi dah! si mchezo yaani zipo tele tena wanazitembeza si mchezo, kuna siku nilijaribu kuifuata Hardtop moja hivi ilikuwa imebeba mafuta ya minara, aisee sikuiona kabisa.View attachment 673287
Unaiponda Tezza Na Sikupi LiftSasa altezza nalo ni Gari unakimbia nalo kwenda wapi?