Kati ya Land Cruiser hizi za polisi na hizi Altezza zipi zinazokimbia sana?

Kati ya Land Cruiser hizi za polisi na hizi Altezza zipi zinazokimbia sana?

wewe ndio wale wanaosema 6 inakimbia kuliko 4 cylinders. Au 6 inakunywa kuliko 4

Ukichorewa 200kph pale kwenye speedometer usifikiri kama ile ndio spidi ya mwisho ama gari inaweza kufika hapo kirahisi. Hio Altezza yenye 180, kwa taarifa yako tu, inavuka mshale mpaka inataka kujirudia izunguke tena, hio ni ALtezza ya kawaida 3sge na haina mods zozote ile. CC kubwa manake sio kwamba inakwenda mbio kuliko yenye cc ndogo.
altezza yako wewe ni engine gani?
 
engine za 2JZ GE zipo mtaani?
kwa hapa Tanzania, izi engine ni tabu sana, mimi niliranda ilala kutafuta distributor yake tu mpaka nikachoka, sema nkapata bahati kuna jamaa mmoja alikuwa nayo engine nzima lakini alikuwa anavunja (yaani ukitaka kitu kwenye engine anakutolea), yangu haina vvti. Yenye vvti unaweza ukabahtika kuipata, ila apo ilala nlicheki cheki sikuona 2jzge nimekuta wanazo 2jzfse
 
kwa hapa TZ, izi engine ni tabu sana, mimi niliranda ilala kutafuta distributor yake tu mpaka nikachoka, sema nkapata bahati kuna jamaa mmoja alikuwa nayo engine nzima lakini alikuwa anavunja (yaani ukitaka kitu kwenye engine anakutolea), yangu haina vvti. Yenye vvti unaweza ukabahtika kuipata, ila apo ilala nlicheki cheki sikuona 2jzge nimekuta wanazo 2jzfse
hiyo engine ya 2JZ GE uliyoibahatisha kwa huyo mchizi ndo uliyoichukua ukaibadilishia kwako ?hiyo 2jz fse performance yake vipi?
 
kwa hapa TZ, izi engine ni tabu sana, mimi niliranda ilala kutafuta distributor yake tu mpaka nikachoka, sema nkapata bahati kuna jamaa mmoja alikuwa nayo engine nzima lakini alikuwa anavunja (yaani ukitaka kitu kwenye engine anakutolea), yangu haina vvti. Yenye vvti unaweza ukabahtika kuipata, ila apo ilala nlicheki cheki sikuona 2jzge nimekuta wanazo 2jzfse
kati ya 2JZ fse na 1FG ipi nzuri?
 
hiyo engine ya 2JZ GE uliyoibahatisha kwa huyo mchizi ndo uliyoichukua ukaibadilishia kwako ?hiyo 2jz fse performance yake vipi?
2jzfse perfomance on stock ni sawa na 2jzge. same block lakini header ndio tofauti. 2zge ni port injection (injectors ziko pembeni) na 2jzfse ni direct injection (injectors zipo katikati ya header). kwenye tuning inatumika 2jzge.

2jzge ndio niloipachika nilitoa kwenye gari nyengine, hio jamaa bila shaka atakuwa nayo bado.
 
shukrani kwa informations mzee nimeamua nichukue 1G ili niipige na turbo nianze misele
1G usihangaike kuipiga turbo, utatumia hela nyingi power gains kidogo bora uweke 3sge tu.

1G ina 160HP, kufika 200HP utajikuta bora pesa tangu mwanzo ungenunua io 3sge.

Mimi 2jzge yangu naitoa mana uku zenjy sijapata control box ya kujaribia narudisha 1G.
 
1G usihangaike kuipiga turbo, utatumia hela nyingi power gains kidogo bora uweke 3sge tu.

1G ina 160HP, kufika 200HP utajikuta bora pesa tangu mwanzo ungenunua io 3sge.

Mimi 2jzge yangu naitoa mana uku zenjy sijapata control box ya kujaribia narudisha 1G.
so bora nichukue 3sge hii 3sge ina hp ngapi?
 
Unataka kuwa jambazi nini?? Ila jaribu tu utajionea mwenyewe ipi ina mbio
 
wewe ndio wale wanaosema 6 inakimbia kuliko 4 cylinders. Au 6 inakunywa kuliko 4

Ukichorewa 200kph pale kwenye speedometer usifikiri kama ile ndio spidi ya mwisho ama gari inaweza kufika hapo kirahisi. Hio Altezza yenye 180, kwa taarifa yako tu, inavuka mshale mpaka inataka kujirudia izunguke tena, hio ni ALtezza ya kawaida 3sge na haina mods zozote ile. CC kubwa manake sio kwamba inakwenda mbio kuliko yenye cc ndogo.
Alteza haiwezi kuhimili speed kubwa kwa mda mrefu kama ambavyo cruiser itafanya.
 
Alteza haiwezi kuhimili speed kubwa kwa mda mrefu kama ambavyo cruiser itafanya.
Nani kakwambia ivo? Altezza inakwenda 180+ kwa mda mrefu bila wasiwasi. Izo zenu ni story za maskani tu.

Kama unaona labda ita overheat, nikutoe wasiwasi, upepo unaoipiga gari wakati upo 180+ ni mkali sana na unatosha kuipoza mashine.
 
Nani kakwambia ivo? Altezza inakwenda 180+ kwa mda mrefu bila wasiwasi. Izo zenu ni story za maskani tu.

Kama unaona labda ita overheat, nikutoe wasiwasi, upepo unaoipiga gari wakati upo 180+ ni mkali sana na unatosha kuipoza mashine.
Sijui kama unajua tofauti ya cylinder 6 na cylinder 4
 
Back
Top Bottom