blackmweusi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 241
- 186
kuna tetesi nilisikia eti jamaa aliachiwa under that conditionKitu pekee kinachompa credit Madiba over Mwalimu ni ile kufungwa 27yrs na baadae kuwasamehe waliomtesa. Only that
hapo hakuna jibu ni kucheka tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au kati ya Mwalimu na JPM nan zaid? [emoji23]
Na speech zake zinahisia sana kuliko mwalimuKitu pekee kinachompa credit Madiba over Mwalimu ni ile kufungwa 27yrs na baadae kuwasamehe waliomtesa. Only that
Aliachiwa bila conditionkuna tetesi nilisikia eti jamaa aliachiwa under that condition
ila sijui history vizuri
Jamani hiki kitu nimekuwa nikikiwaza kwa muda mrefu sana, hivi kati ya Mwalimu na Mandela nani alitoa mchango mkubwa zaidi?
Kwa fikra zangu nijuavyo mimi, Nyerere alitoa mchango mkubwa sana. Lakini sasa mbona hajulikani na havumi huko nje kama namna Madiba anavopewa sifa? Narudia tena hii ni kwa elimu ya historia niliyonayo na fikra zangu hivo sijaongelea mawazo ya mtu.
Naombeni tueleweshane, ni nani alitoa mchango mkubwa Africa?
Nawasilisha.
Black.
Nyerere ndio zaidi.Jamani hiki kitu nimekuwa nikikiwaza kwa muda mrefu sana, hivi kati ya Mwalimu na Mandela nani alitoa mchango mkubwa zaidi?
Kwa fikra zangu nijuavyo mimi, Nyerere alitoa mchango mkubwa sana. Lakini sasa mbona hajulikani na havumi huko nje kama namna Madiba anavopewa sifa? Narudia tena hii ni kwa elimu ya historia niliyonayo na fikra zangu hivo sijaongelea mawazo ya mtu.
Naombeni tueleweshane, ni nani alitoa mchango mkubwa Africa?
Nawasilisha.
Black.