Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
Mbona unaongelea vitu absract sana? Ni kundi gani la watu au taifa kwa ujumla lilofanikiwa kwa kusamehe maadui zake?Mwalimu alifanya vitu vingi sana kwa ajili ya ukombozi wa Afrika, lkn ipo nguvu kubwa sana ktk kitu kinaitwa msamaha, pale unaposamehe adui zako,mbingu ufunguka na baraka uanza kukuijia juu yako, kitendo alichokifanya Madiba kilimpa mailegy ya umaharufu mkubwa sana duniani.
"Kuna nguvu kubwa sana katika msamaha" wasamehe wrote waliokukosea......