Kati ya Madiba na Mwalimu nani alikuwa zaidi

Kati ya Madiba na Mwalimu nani alikuwa zaidi

Hiyo ideology baada kumshinda ndio iliomfanya anga'atuke kwa kuofia aibu. Na ndio akatafuta mtu mwengine akamueka abadilishe policy za nchi.
Hahahaaa kwahiyo ideology ikifeli inamaanisha kuwa mtu hana akili?
Kwa mantiki hii basi hata Karl Marx alikuwa hana akili.
Unaonekana una upeo mdogo sana wa kufikiri na unadaka maneno ya vijiweni.
Hata hivyo ideology yake haikufeli 100% ilikuwa na mafanikio.
 
Hujielewi na una mihemko.
Hao wenye maisha mazuri huko SA ni native Africans?
Kwanza unapajua vizuri SA?

Naona unaanza ingiza ubaguzi. SA ninchi ya watu tafauti, Wenye akili wanatumia fursa wasokua nazo wanabaki nyuma. Hata hapa kwetu TZ huwezi fanananisha wahindi na wabantu kimaendeleo. Lakini cha msingi ki opportunities kwa nchi inazo tena nyingi na ndio mana mpaka wageni wengi tena walalahoi wanafaidika.
 
Hahahaaa kwahiyo ideology ikifeli inamaanisha kuwa mtu hana akili?
Kwa mantiki hii basi hata Karl Marx alikuwa hana akili.
Unaonekana una upeo mdogo sana wa kufikiri na unadaka maneno ya vijiweni.
Hata hivyo ideology yake haikufeli 100% ilikuwa na mafanikio.

Kuwa na akili na kutokua nayo sisi hayo hayana tija kwetu. Linalotuhusu ni kua alifeli. huo ndio uhalisia.
 
Naona unaanza ingiza ubaguzi. SA ninchi ya watu tafauti, Wenye akili wanatumia fursa wasokua nazo wanabaki nyuma. Hata hapa kwetu TZ huwezi fanananisha wahindi na wabantu kimaendeleo. Lakini cha msingi ki opportunities kwa nchi inazo tena nyingi na ndio mana mpaka wageni wengi tena walalahoi wanafaidika.
Sio kwamba na ingiza ubaguzi ila naongelea hali halisi. Waafrika hali yao sio nzuri huko ndio maana wakiona wageni au Waafrika wenzao wana panic.
Hata huku Tanzania anayetaka kufanikiwa atafanikiwa.
It's a no brainer.
 
Kuwa na akili na kutokua nayo sisi hayo hayana tija kwetu. Linalotuhusu ni kua alifeli. huo ndio uhalisia.
Kwa mantiki hiyo hamna aliyewahi kufaulu basi.
Tena bora hata Kambarage alifaulu kwenye kuhakikisha hatajawahi kuwa na civil wars.
 
Kwa mantiki hiyo hamna aliyewahi kufaulu basi.
Tena bora hata Kambarage alifaulu kwenye kuhakikisha hatajawahi kuwa na civil wars.

Wapo wengi waliofaulu, na wapo wengi waliopiga haatua nzuri. Lakini na wapo waliofeli moja kwa moja akiwemo Mwalimu
 
Sio kwamba na ingiza ubaguzi ila naongelea hali halisi. Waafrika hali yao sio nzuri huko ndio maana wakiona wageni au Waafrika wenzao wana panic.
Hata huku Tanzania anayetaka kufanikiwa atafanikiwa.
It's a no brainer.

Kwanini wapanic? kwa sababu wanawaona hao wageni wanapata maendeleo. Na ndio mana nikakwambia SA opportunities za kimaisha zipo, Na ndio mana wazungu, wahindi wanafanikiwa. Na hao wa bantu wageni nao pia wanafakiwa. Kwa hiyo hapo tatizo kubwa halipo kwenye nchi tatizo kubwa lipo kwenye watu wenyewe.
 
Mbali na kuwasamehe makaburu, ni vile tu mwalimu aliondoka kabla dunia ya digital haijashika hatamu. Ila hata madiba mwenyewe alijua mwalimu ni mwalimu wake. Ndio maana hata baada ya uhuru madiba alimwita mwalimu ahutubie bunge la kwanza la SA.
 
Kwanini wapanic? kwa sababu wanawaona hao wageni wanapata maendeleo. Na ndio mana nikakwambia SA opportunities za kimaisha zipo, Na ndio mana wazungu, wahindi wanafanikiwa. Na hao wa bantu wageni nao pia wanafakiwa. Kwa hiyo hapo tatizo kubwa halipo kwenye nchi tatizo kubwa lipo kwenye watu wenyewe.
Lol usinipigie kelele wewe ndo ume panic.
Sasa umesema watu ndo tatizo, shida kubwa kwa Mwalimu ikowapi?
 
Wapo wengi waliofaulu, na wapo wengi waliopiga haatua nzuri. Lakini na wapo waliofeli moja kwa moja akiwemo Mwalimu
Hahahaaa kwa Afrika nitajie viongozi waliofanikiwa kuliko Mwalimu.
Huwa mnachukulia mambo poa sana.
 
Lol usinipigie kelele wewe ndo ume panic.
Sasa umesema watu ndo tatizo, shida kubwa kwa Mwalimu ikowapi?

Shida kubwa kwa mwalimu kua ndio nguzo kuu ya Umaskini ndani ya Tanzania.
Na pia ni failure moja kwa moja as a President tena aliyetawal for 22 years.
 
Mimi nauliza ni utajiri gani ambao Nyerere aliupoteza kama mlivodai

Alishindwa kuleta maendeleo kwenye nchi kwa kipindi cha miaka 20 aliyotawala, tena na kubwa zaidi alitawala kwenye nchi katika kipindi muhimu sana kwa maendeleo ya taifa. Yeye ndie aliyekua na dhamana ya kujenga strategy za maendelo za nchi yetu, bali alishia kufaile badly mwisho akaacha nchi kwa aibu.
 
Shida kubwa kwa mwalimu kua ndio nguzo kuu ya Umaskini ndani ya Tanzania.
Na pia ni failure moja kwa moja as a President tena aliyetawal for 22 years.
Mwalimu siyo nguzo kuu ya umaskini Tanzania. Factors zipo nyingi tu, na ukilinganisha na nchi nyingine za Kiafrika tupo well off.
Tena ninachoweza kumpongeza mwalimu ni kuweza ku maintain amani na kuepuka ukabila unayopelekea madhara makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom