kadeti
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,115
- 1,105
Mwalimu alifanya vitu vingi sana kwa ajili ya ukombozi wa Afrika, lkn ipo nguvu kubwa sana ktk kitu kinaitwa msamaha, pale unaposamehe adui zako,mbingu ufunguka na baraka uanza kukuijia juu yako, kitendo alichokifanya Madiba kilimpa mailegy ya umaharufu mkubwa sana duniani.Jamani hiki kitu nimekuwa nikikiwaza kwa muda mrefu sana, hivi kati ya Mwalimu na Mandela nani alitoa mchango mkubwa zaidi?
Kwa fikra zangu nijuavyo mimi, Nyerere alitoa mchango mkubwa sana. Lakini sasa mbona hajulikani na havumi huko nje kama namna Madiba anavopewa sifa? Narudia tena hii ni kwa elimu ya historia niliyonayo na fikra zangu hivo sijaongelea mawazo ya mtu.
Naombeni tueleweshane, ni nani alitoa mchango mkubwa Africa?
Nawasilisha.
Black.
"Kuna nguvu kubwa sana katika msamaha" wasamehe wrote waliokukosea......