Kati ya Madiba na Mwalimu nani alikuwa zaidi

Kati ya Madiba na Mwalimu nani alikuwa zaidi

Shida yake alikuwa baba huruma, He viewed Africa as a whole sio small segments as countries na yeye na Muammar Gadaffi walikuwa na same dream ndio maana hata Gadaffi alikuwa anamuheshimu sana. Shida ni ubinafsi wa watawala wengine wa kiafrika
Yaani matatizo yako unaanza kulaumu wengine?? Pathetic! You are the source of your own problems mkuu am sorry
 
Mjinga ni wewe ulielewa na Propaganda za CCM
Tanzania hakuna vita kwa sababu wananchi wake ni wajinga na woga. Lakini hizo sababu unazoziona zimeanzisha vita nchi nyengine na hapa kwetu zipo kikamilifu
Huko CCM ulinipeleka wewe nikiwa mtoto mchanga nikalelewe? Nilelewe na wazazi wangu ukazane na "nimelelewa na CCM".
Tena Mwalimu alikuwa kati ya watu walioamini katika upinzani imara kwenye nchi.
Nikikwambia we ni mjinga unahisi na kusingizia. Unajifanya unajua siasa lakini huna unalolijua na unaingiza siasa uchwara unazosikiliza gengeni kwenu kwenye mambo ambayo hayahusiani.
Tena waambie waliokutuma kuja huku ili ku tarnish image ya Mwalimu wetu ya kwamba you failed your mission.
He is a hero, and all heroes fictitious or real have their flaws
 
Huko CCM ulinipeleka wewe nikiwa mtoto mchanga nikalelewe? Nilelewe na wazazi wangu ukazane na "nimelelewa na CCM".
Tena Mwalimu alikuwa kati ya watu walioamini katika upinzani imara kwenye nchi.
Nikikwambia we ni mjinga unahisi na kusingizia. Unajifanya unajua siasa lakini huna unalolijua na unaingiza siasa uchwara unazosikiliza gengeni kwenu kwenye mambo ambayo hayahusiani.
Tena waambie waliokutuma kuja huku ili ku tarnish image ya Mwalimu wetu ya kwamba you failed your mission.
He is a hero, and all heroes fictitious or real have their flaws

Ni Hero wako pekeako, usitulazimishe sote kumuona hero.

Mwalimu ndie alievifungia vyama vya upinzani kwa karibu miaka 30 mpaka walipokuja wazungu kuvilazimisha.
 
Madiba anatoka taifa tajiri na maarufu nyerere maskini na lisilojulikana, Diba aliteseka jela rere alikuwa anacheza bao,Diba alifosi nyerere alipewa Uhuru kilaini,Diba alisamehe wazungu rere aliwamaindi,Diba alikuwa communist rere socialist isio na tija, Diba alikuwa funzo kwawengi rere hajafunza mengi ila alitia morali watu wajikomboe. Diba aliachia urais kilainirere ni baada ya maji ya shingo,Diba hakukomoa wafrika waliotofautiana nae rere aliwakomesha,
Kiufupi ni ngumu kuishi kimadiba kuliko kinyerere,madiba alimzidi nyerere kwakweli
 
Waulize wazee walioishi miaka ya Nyerere na kabla au baada ya utawala wake watakupa majibu mazuri mkuu.

Sisi watanzania ni maskini na wajinga wakutupwa kabisa na sababu kuu ya umaskini wetu ni CCM. Na nyerere anamkono wake zaidi ya 60 percent kwenye hili. Nyerere alikua ni failed as president, alishindwa nchi kuipa maendelea, na wala kutengeneza misingi ya maendeleo.
Ukiulizwa aliisababishia vp umaskin TZ utatuambia kuwa alileta mfumo wa kijamaa ambao ulipelekea kutaifisha mali za watu. Kumbuka ya kuwa zipo nchi nyingi tuu zilifuata mfumo wa kibepari na hadi leo hazina chochote heri TZ.

Hivi mkuu unaamin unachokiamini ni kweli? Na km ni kweli naomba maelezo ya kina plz
 
Sio vizuri kuwalinganisha.
Ila Kamabarage ni kiboko. Alikuwa na mapungufu sana ila alijitahidi.
Chezea mtu anaye come up na ideology yake mwenyewe inayosomwa na vyuo mbali mbali duniani.
Alikuwa ni binadamu wa aina yake. R.I.P Nyerere
 
Kuna vitu Mwalimu amefanya vizuri lakini kuna sehemu katuachia Majanga

1. Issue ya Zanzibar

2. Biafra

3. Katiba katuachia Bomu

4. Umaskini

5. Vita ya Uganda na mambo ya ushkaji kule

6. Kudictate Mgombea Uraisi (Ben)

7. Uadui na Wasomi kama Job lusinde, Kambona na wengine

8. Hakuwahi kupika watu walioweza kutetea ideology yake kindakindaki. Alivyotoka tu Madarakani ideology yake nayo ikasepa inawezekana ideology ilikuwa mbovu au yeye mwenyewe hakuwa mzuri kupika watu

9. Ndiye Rais alieongoza ktk matukio ya kutaka kupinduliwa

10. Hakufanikiwa kuangamiza changamoto za Ukabila na Udini. Kwa maana alivyoondoka tu madarakani ziliendelea kuchipuka na kumea zaidi
 
Kuna vitu Mwalimu amefanya vizuri lakini kuna sehemu katuachia Majanga

1. Issue ya Zanzibar

2. Biafra

3. Katiba katuachia Bomu

4. Umaskini

5. Vita ya Uganda na mambo ya ushkaji kule

6. Kudictate Mgombea Uraisi (Ben)

7. Uadui na Wasomi kama Job lusinde, Kambona na wengine

8. Hakuwahi kupika watu walioweza kutetea ideology yake kindakindaki. Alivyotoka tu Madarakani ideology yake nayo ikasepa inawezekana ideology ilikuwa mbovu au yeye mwenyewe hakuwa mzuri kupika watu

9. Ndiye Rais alieongoza ktk matukio ya kutaka kupinduliwa

10. Hakufanikiwa kuangamiza changamoto za Ukabila na Udini. Kwa maana alivyoondoka tu madarakani ziliendelea kuchipuka na kumea zaidi
Nitakujibu kesho, wacha nilale kwanza
 
Ukiulizwa aliisababishia vp umaskin TZ utatuambia kuwa alileta mfumo wa kijamaa ambao ulipelekea kutaifisha mali za watu. Kumbuka ya kuwa zipo nchi nyingi tuu zilifuata mfumo wa kibepari na hadi leo hazina chochote heri TZ.

Hivi mkuu unaamin unachokiamini ni kweli? Na km ni kweli naomba maelezo ya kina plz

Mfumo wa Ujamaa haukutaifisha tu mali bali pia Ulileta njaa pamoja na kuzorotesha maendeleo kiujumla. Na kubwa zaidi mwisho wake alifeil kwenye ile project yake. Na ndio ilikua moja ya sababu kuu ya yeye kung'atuka. Nchi ilihitaji mabadiliko ili ijiokeo, Na yeye kuweza kula matapishi yake ilikua ni ngumu na ndio mana akaweka mtu mwengine wa kuyafanya hayo.

Tusiwe wapuuzi, Nyerere ndie aliemueka Mwinyi, Na Mwinyi asingeweza kufanya mabadiliko ya sera ya uchumi bila ya Mwalimu kuridhia. Angelikua bado yupo strict ni msimamo wake Angeweza hata kumuondoa Mwinyi madarakani mana nguvu ya kisiasa alikua nayo. Ni ukweli usiopingika alikubali mabadiliko yale. Na kwasababu yeye alishafail.
 
Kuna vitu Mwalimu amefanya vizuri lakini kuna sehemu katuachia Majanga

1. Issue ya Zanzibar

2. Biafra

3. Katiba katuachia Bomu

4. Umaskini

5. Vita ya Uganda na mambo ya ushkaji kule

6. Kudictate Mgombea Uraisi (Ben)

7. Uadui na Wasomi kama Job lusinde, Kambona na wengine

8. Hakuwahi kupika watu walioweza kutetea ideology yake kindakindaki. Alivyotoka tu Madarakani ideology yake nayo ikasepa inawezekana ideology ilikuwa mbovu au yeye mwenyewe hakuwa mzuri kupika watu

9. Ndiye Rais alieongoza ktk matukio ya kutaka kupinduliwa

10. Hakufanikiwa kuangamiza changamoto za Ukabila na Udini. Kwa maana alivyoondoka tu madarakani ziliendelea kuchipuka na kumea zaidi


Sasa mkuu mie ningeomba kuyajua hayo mazuri. Mana kwa hiyo list uliotuwekea inadhihirisha moja kwa moja kama alikua failed Leader.
 
Sasa mkuu mie ningeomba kuyajua hayo mazuri. Mana kwa hiyo list uliotuwekea inadhihirisha moja kwa moja kama alikua failed Leader.
1. Literacy ratio ilikuwa vizuri

2. Vyombo vya Ulinzi na Usalama vilikuwa vzuri

3. Nchi ilijijenga Kidiplomasia na Kuheshimika Duniani

4. Dira na uelekeo wa nchi ulijulikana

5. Matabaka ya walionacho na wasionacho hayakuwa makubwa

6. Amani, utulivu na umoja ulioletwa na woga

7. Kiuchumi, Tz ilikuwa ya pili duniani kwa uzalishaji wa bidhaa za Makopo

8. Nchi ilikuwa huru yenye kufanya maamuzi yanayolingana na mahitaji ya nchi, sio kutokana na wanaojiita Wafadhili
 
4. Dira na uelekeo wa nchi ulijulikana

5. Matabaka ya walionacho na wasionacho hayakuwa makubwa

6. Amani, utulivu na umoja ulioletwa na woga

Hapo mkuu hayo pia ni mazuri? kuwajenga wananchi kuwa woga na kushindwa kuhoji au kupigania haki zao nayo ni maendeleo?

Na hayo matabaka kutokua makubwa, sio kama waliwatoa wachini wakawapandisha mpaka kuwakaribia wajuu bali waliwashusha wa juu wakakribiana na wachini
 
Mfumo wa Ujamaa haukutaifisha tu mali bali pia Ulileta njaa pamoja na kuzorotesha maendeleo kiujumla. Na kubwa zaidi mwisho wake alifeil kwenye ile project yake. Na ndio ilikua moja ya sababu kuu ya yeye kung'atuka. Nchi ilihitaji mabadiliko ili ijiokeo, Na yeye kuweza kula matapishi yake ilikua ni ngumu na ndio mana akaweka mtu mwengine wa kuyafanya hayo.

Tusiwe wapuuzi, Nyerere ndie aliemueka Mwinyi, Na Mwinyi asingeweza kufanya mabadiliko ya sera ya uchumi bila ya Mwalimu kuridhia. Angelikua bado yupo strict ni msimamo wake Angeweza hata kumuondoa Mwinyi madarakani mana nguvu ya kisiasa alikua nayo. Ni ukweli usiopingika alikubali mabadiliko yale. Na kwasababu yeye alishafail.
Kosa ambalo Mwl alilikiri kuwa lilichangia kushindwa kufikia malengo ya mfumo wake ni kufuta serikali za mitaa na kubaki na serikali kuu pekee. Kumbuka china pia walipitia vijiji vya ujamaa na ndio ulikuwa mwanzo wa ukuaji wa uchumi wao.

Kama unaweza nenda kasome sera & mpango mkakati wa utekelezaji wa vijiji vya ujamaa & socialism in TZ kwa ujumla ndio utapata picha halisi ya kuwa tatizo lilikuwa kwa watekelezaji na wala sii mfumo
 
Hapo mkuu hayo pia ni mazuri? kuwajenga wananchi kuwa woga na kushindwa kuhoji au kupigania haki zao nayo ni maendeleo?

Na hayo matabaka kutokua makubwa, sio kama waliwatoa wachini wakawapandisha mpaka kuwakaribia wajuu bali waliwashusha wa juu wakakribiana na wachini
Woga si kitu kizuri kuwajengea wananchi, lakini kama ulistawisha amani na utulivu sidhani kama ni kitu cha kubeza. Gharama za vita na Vurugu kuubwa sana
 
1. Literacy ratio ilikuwa vizuri

2. Vyombo vya Ulinzi na Usalama vilikuwa vzuri

3. Nchi ilijijenga Kidiplomasia na Kuheshimika Duniani

4. Dira na uelekeo wa nchi ulijulikana

5. Matabaka ya walionacho na wasionacho hayakuwa makubwa

6. Amani, utulivu na umoja ulioletwa na woga

7. Kiuchumi, Tz ilikuwa ya pili duniani kwa uzalishaji wa bidhaa za Makopo

8. Nchi ilikuwa huru yenye kufanya maamuzi yanayolingana na mahitaji ya nchi, sio kutokana na wanaojiita Wafadhili
9. Kuamua kuachia madaraka mwenyewe/kung'atuka
 
Back
Top Bottom