Hiyo ni thesis yA PhD ....wasomi chukua hiyoooo kwa upembuziiiii......kuna Prif moja alifanyia mihogo....kuwa mitamu michungu kutokana udongo sehemu tofauti.....na sehemu sawa....mbegu sawa
Hakuna yaliyo bora zaidi pasopo na vigezo.
Kwa ndani maji ya mvua huchafuliwa na kemikali za angani (gesi, vumbi, moshi, n.k).
Pia maji ya chemchem yanaweza kuwa3 yanapita kwenye miamba yenye kemikali kama sulphur, n.k ambazo ni hatari kwa afya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.