Kati ya mambo hayo, Kidedea na Kaole nani walibamba zaidi tasnia ya michezo ya kuigiza?

Halafu yeye anaenda kubembelezwa kwa bistaa
 
Wakishuaaa
 
pwagu,jengua, nyama yao,kibakuli,swebe,sinta,dr cheni,bi mwenda,cathy,nora,biko,kibakuli,bi star,tabia,

daah kaole ni jiko na limepika wengi
 
pwagu,jengua, nyama yao,kibakuli,swebe,sinta,dr cheni,bi mwenda,cathy,nora,biko,kibakuli,bi star,tabia,

daah kaole ni jiko na limepika wengi
Ongeza na hawa hapa; Ray, Kanumba (RIP), Biko, Simalenga, Kipemba, Pembe, Nova, Max(RIP), Zembwela, Bambo, na wengineo! Ila kwenye list yako watoe Jengua na Tabia maana wao walikuwa Kidedea!
 
Kaole.... walikuwa faya, hadi leo bado kuna watu wako kwenye bongo movie walitokea kaole
 
Nakumbuka bupe alikua na ukimwi ,mpenzi wake alikua biko,yani nilijua kweli anaukimwi


Na kisa alikua mlemavu ,,mashaka( rip) akamkataa mana alitafutiwa akiwa masomoni,,Dr cheni akamuoa kisa na ulemavu wake,,aisee nilijua ile harusi ni kweli
daah kuna ile kuna twin mashaka
 
Chaajabu hiyo michezo saiv uki itafuta YouTube hata ukumbushie enzi huipati asee tatizo sijui nini
 
Wakati huo ITV ikatuleteaga tamthilia moja ya Kenya inaitwa Tausi... Uko tulimjua Mjuba, Siti na wengineo... daaah those days aiseee
Daah! Wakati unakimbia na enzi pia hazirud nyuma. Hatari Sana enzi zile.
 
Nakumbuka bupe alikua na ukimwi ,mpenzi wake alikua biko,yani nilijua kweli anaukimwi


Na kisa alikua mlemavu ,,mashaka( rip) akamkataa mana alitafutiwa akiwa masomoni,,Dr cheni akamuoa kisa na ulemavu wake,,aisee nilijua ile harusi ni kweli
Biko(iddi ligongo) siku hizi yupo redio umoja wa mataifa new york marekani akitokea sauti ya america(VOA)
 
tukubali tu,kama taifa tunafeli sana.

wakati huo pamoja na soko la filamu za kinigeria kiwa juu sana hapa nchini lakini bado sanaa ya filamu na maigizo ilibamba sana.tuliweza kupambana nao japokuwa wanigeria walifanya kazi zenye maudhui haya haya.

lakini leo hii,tamthilia za kikorea na kifilipino zisizo na uhalisia hata 3℅ zimefanya wasanii wetu wapoteane kabisa,ukimuuliza mlaji anakwambia hawezi angalia bongo movie waongo sana,wakati huko kwa wafilipino kuna scene ya samaki mtu anayepaa angani[emoji849][emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nakumbuka bupe alikua na ukimwi ,mpenzi wake alikua biko,yani nilijua kweli anaukimwi


Na kisa alikua mlemavu ,,mashaka( rip) akamkataa mana alitafutiwa akiwa masomoni,,Dr cheni akamuoa kisa na ulemavu wake,,aisee nilijua ile harusi ni kweli
Umenikumbusha sana hilo igizo lilitwa maisha, na nyimbo yake ya "maisha ya Sasa sio kuzurura bila kibarua".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…