Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
- Thread starter
-
- #21
Vp kuhusu maduka ya madawa Gairo papojeNdugu,kwa kilimo tazama wepesi wa usafirishaji kwenda sokoni mfano Gairo pamekaa vizuri sana.Baadhi ya maeneo ni mazito kwa sababu ya umbali kutoka saiti hadi sokoni.
duka ya madawa VP?Mpanda imekuwa Sukumaland Kingdom, kila fursa wamekaba..
Vp maduka ya madawa papoje?njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi
kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki
kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka
Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...
yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Mimi nimetoka morogoro na kuja kupiga kambi manyoni, kwa ufugaji hasa wa kuku karibu manyoni, kwa kilimo pita morogoro, manyoni kilimo ni gharama sana,Wakuu mimi ni mtumishi aisee huku niliko Tanga mambo magumu nahisi kutoboa itachukua muda sana wakuu sasa nataka nichague sehemu kama tatu hivi kati ya mkoa wa morogoro (Gairo, Mvomero au Ifakara), Mpanda na Manyoni ipi ni sehemu mzuri kutoboa? Wakuu hasa hasa kwenye kilimo na kuuza maduka ya madawa.
Mimi ni mtumishi wa Afya wizara ya tam
Mijitu mivivu kama nini wanachojua wao ni majungu na umbeya Tu takataka kabisa hawa watuIna maana huko tanga watu hawaumwi
Tanga ya wapi hiyo mkuu,nasikia Lushoto pako vizuriHawana hela
Mijitu mivivu kama nini wanachojua wao ni majungu na umbeya Tu takataka kabisa hawa watu
Hizo sifa zipo kokote utakapokwenda, unatakiwa ufahamu hakuna hela rahisi,ukilijua hili hutapata tabu hapa duniani.Hizo sehemu zote unazozitaka zina changamoto zake.Mijitu mivivu kama nini wanachojua wao ni majungu
Mashamba mnauzaje huko majimoto?Fursa bado zipo za kutosha
Maeneo ya kununua yapo?njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi
kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki
kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka
Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...
yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Nimekaa Tabora japo wale wanyamwezi wana majungu sana ila kule hela ipo nikikuambia kuna sehemu ni ngumu kuishiHizo sifa zipo kokote utakapokwenda, unatakiwa ufahamu hakuna hela rahisi,ukilijua hili hutapata tabu hapa duniani.Hizo sehemu zote unazozitaka zina changamoto zake.
Nakubali mkuu.njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi
kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki
kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka
Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...
yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Eah kahama ipo poa sana! Ila kwa mazingira ya vijijini kahama papoje? Hususani kwenye maduka ya dawa mkuuKila sehemu uliyotaja ni nzuri sana endapo unafocus na plan zako haitokuchukua miaka mingi kusimama imara isipokuwa kwa uzoefu wangu
Mpanda, pamepoa sana. Mlipuko wa magonjwa na muingiliano na wakimbizi ni mkubwa sana lakini pia usalama wa afya na mali ni mdogo
Ifakara, kipindi cha mvua utapachukia mno maana sio kwa mafuriko yale, pia huduma za afya ni mbovu sana. Joto ndiyo balaa
Gairo, pamepoa sana, wenyeji wana wivu sana, vumbi la pale utalikimbia, mpangilio mbaya wa mji, vyakula havieleweki
Mvomero, nilichoshwa na mafuriko tu ila kila kitu bye sana
Nb:
Pafikirie na Kahama na maeneo jirani na pale ni wilaya nzuri sana na inatoa kimaisha chap tu ukiwa bz na unachokifanya
Unasikia ila haujawahi fika mkuu ofcourse hata mimi nasikia pako vizuri mimi nipo pangani mkuuTanga ya wapi hiyo mkuu,nasikia Lushoto pako vizuri
Ambazo kuna magonjwa mie ninapo hitaji ili nipige hela kwenye madawaKila sehemu uliyotaja ni nzuri sana endapo unafocus na plan zako haitokuchukua miaka mingi kusimama imara isipokuwa kwa uzoefu wangu
Mpanda, pamepoa sana. Mlipuko wa magonjwa na muingiliano na wakimbizi ni mkubwa sana lakini pia usalama wa afya na mali ni mdogo
Ifakara, kipindi cha mvua utapachukia mno maana sio kwa mafuriko yale, pia huduma za afya ni mbovu sana. Joto ndiyo balaa
Gairo, pamepoa sana, wenyeji wana wivu sana, vumbi la pale utalikimbia, mpangilio mbaya wa mji, vyakula havieleweki
Mvomero, nilichoshwa na mafuriko tu ila kila kitu bye sana
Nb:
Pafikirie na Kahama na maeneo jirani na pale ni wilaya nzuri sana na inatoa kimaisha chap tu ukiwa bz na unachokifanya
Sijawahi kufika kule naishiaga inyongaMashamba mnauzaje huko majimoto?