Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,877
- 2,314
Maelezo yako yanakosa sifa ya kuhitimisha namna unavyohitimisha. Kuhusu uimara, itategemea tu kila tofali mtengenezaji amejitahidi kufuata viwango kwa kiasi gani. Kuna ya kuchoma, udongo si wa mfinyanzi,ama hayakuchomeka vema, utajuta. Kuna ya saruji ratio ikawa magumashi, mfuko kwa tofali 40 au hayakushindiliwa vema pia utajuta. Na haya ndo yamejaa miji ya Pwani na Dar. Kwa namna hii huwez kusema ya saruji ni bora kuliko ya kuchoma. Si kweli.Mimi nimewahi kupata tofali za kuchoma pcs kadhaa kutoka pakistan ni ngumu ile mbaya, huwezi kulinganisha na hizi zetu tunazochoma kienyeji, ukitaka kujaribu chukua tofali yetu moja, chukua hiyo ya kutoka pakistan na chukua kipande cha tofali ya Cement weka hivyo vipande vyote kwenye barabara ya lami na magari yavisage, tofali letu la kuchoma litasagika na kuwa unga completely na lile la cement litakuwa vipande vipande kama changarawe (partially ground) na hilo la Pakistan almost litabaki intact.
Conclusion yangu ni kwamba, matofali ya saruji ni bora kulinganisha na matofali yetu ya kuchoma ambayo hata yanaweza kushambuliwa na mchwa wajengao kirahisi.
Msisitizo
Tukiacha hayo matatizo ya kibongo (ya kutofuata viwango), kuchoma ndiyo tofali mujarab.